Ok sawa kiongozi asante sanaHela yako ipo yote, hapo umeona hvyo kwavile umengalia kupitia menu ile ya *150*82#, Ila ukiangalia salio kupitia App ya UTT Amis utaona salio lako lote
Hongera pia mwanzo mzuri
Baada ya mwezi mmja mkuuNa mimi nipate elimu kidogo hapo. Unaanza kuvuna baada ya muda gani? Na let say kwa hyo 7m utakua unavuna how much kila baada ya muda gani?
Kuvuna kuanzia 70kNa mimi nipate elimu kidogo hapo. Unaanza kuvuna baada ya muda gani? Na let say kwa hyo 7m utakua unavuna how much kila baada ya muda gani?
Ni kweli mkuu malengo yawe ya muda mrefuUTT Kwa mtazamo wangu ni mfuko wa kuanza kuwekeza mapemaa na uwe na malengo ya Muda Mrefu
Monthly?Kuvuna kuanzia 70k
Na mimi nipate elimu kidogo hapo. Unaanza kuvuna baada ya muda gani? Na let say kwa hyo 7m utakua unavuna how much kila baada ya muda gani?
🥱 Inauma but itabidi uzoeeKuvuna kuanzia 70k
Aprox 70,000/= kila mweziNa mimi nipate elimu kidogo hapo. Unaanza kuvuna baada ya muda gani? Na let say kwa hyo 7m utakua unavuna how much kila baada ya muda gani?