Watalaam wa htc one, nimekuja tena. Safari hii naomba niweke data/information ili ziwasaidie katika kuamua kama hii simu yangu ni LOCKED, TATIZO LINGINE LA SOFTWARE AU NI TATIZO LA HARDWARE.
Awali ya yote niliipeleka kwa mhindi mmoja ambaye ni dealer wa Samsung akaniambia inabidi adownload version ya 4.4 ili aone tatizo ni nini.Baada ya siku 2 akanipigia simu kuwa nikaichukue ameshindwa. Akaniambia amejaribu kudownload hapati version ya hii model ya simu
NILICHOONA KUHUSU HII SIMU
:Ni htc one m7. Ilikuwa inatumia mtandao wa t-mobile huko USA
:ANDROID VERSION-4.1.2
:HTC sense version - 5.0
:Imei- ipo ipo digit 15
:IMEI SV- 02
😀EVICE SERIAL NUMBER- Ipo inaanza na FA
:IMIS- Ipo 15 digit
KUTOKA PLAY STORE NIKADOWLOAD SIM CARD APP NIKAPATA TAARIFA ZFUATAZO
:SIM CARD STATE-network locked
:SIM SERIAL NUMBER- zipo digit 8
:SIM COUNTRY ISO - tz
:SIM OPERATOR NAME- tigo (nimeweka line ya tigo)
:SIM IMES- zipo digit 15
😛HONE TYPE- gsm
😀EVICE IMEI- zipo digit 15
😀ATA CONNECTION STATUS- disconnected. IP traffic not available
NIKITOA LINE INASEMA
unable to detect your SIM card. Please make sure that your SIM card is properly inserted
NIKIWEKA LINE INASEMA
no service
NIKISEARCH NETWORK OPERATORS INASEMA
yiur SIM card does not allow connections to this network
NIKIWEKA LINE
tigo services na contacts naziona
Ni matumaini yangu kuwa taarifa hizi zitawasaidia watalaam kubaini tatizo la simu yangu
Nipo Mwanza
Ukihitaji maelezo zaidi waweza nipm # yako nitakupigia kwa ufafanuzi zaidi
Karibuni
cc: Mwl.RCT, shiny c, MimiTena chief-mkwawa, Kiranga Younger master
....UPDATE.......
Baada ya kufanyia kazi uzi huu. Nimeconclude kuwa hii Simu niUNLOCKED. Hivyo ina tatizo la HARDWZRE -Network
Awali ya yote niliipeleka kwa mhindi mmoja ambaye ni dealer wa Samsung akaniambia inabidi adownload version ya 4.4 ili aone tatizo ni nini.Baada ya siku 2 akanipigia simu kuwa nikaichukue ameshindwa. Akaniambia amejaribu kudownload hapati version ya hii model ya simu
NILICHOONA KUHUSU HII SIMU
:Ni htc one m7. Ilikuwa inatumia mtandao wa t-mobile huko USA
:ANDROID VERSION-4.1.2
:HTC sense version - 5.0
:Imei- ipo ipo digit 15
:IMEI SV- 02
😀EVICE SERIAL NUMBER- Ipo inaanza na FA
:IMIS- Ipo 15 digit
KUTOKA PLAY STORE NIKADOWLOAD SIM CARD APP NIKAPATA TAARIFA ZFUATAZO
:SIM CARD STATE-network locked
:SIM SERIAL NUMBER- zipo digit 8
:SIM COUNTRY ISO - tz
:SIM OPERATOR NAME- tigo (nimeweka line ya tigo)
:SIM IMES- zipo digit 15
😛HONE TYPE- gsm
😀EVICE IMEI- zipo digit 15
😀ATA CONNECTION STATUS- disconnected. IP traffic not available
NIKITOA LINE INASEMA
unable to detect your SIM card. Please make sure that your SIM card is properly inserted
NIKIWEKA LINE INASEMA
no service
NIKISEARCH NETWORK OPERATORS INASEMA
yiur SIM card does not allow connections to this network
NIKIWEKA LINE
tigo services na contacts naziona
Ni matumaini yangu kuwa taarifa hizi zitawasaidia watalaam kubaini tatizo la simu yangu
Nipo Mwanza
Ukihitaji maelezo zaidi waweza nipm # yako nitakupigia kwa ufafanuzi zaidi
Karibuni
cc: Mwl.RCT, shiny c, MimiTena chief-mkwawa, Kiranga Younger master
....UPDATE.......
Baada ya kufanyia kazi uzi huu. Nimeconclude kuwa hii Simu niUNLOCKED. Hivyo ina tatizo la HARDWZRE -Network
Last edited by a moderator: