Naomba msaada kujua kama tatizo la simu hii ni Software au Network Lock!

Naomba msaada kujua kama tatizo la simu hii ni Software au Network Lock!

Ukitaka simu yako ifanye kazi kwa ufanisi inahitaji kubadilisha T-Mobile carrier kwenda any mobile carrier. Kama mtaalamu kidogo nenda hapa

htc-one.wonderhowto.com/how-to/get-your-htc-one-m7-ready-for-different-mobile-carrier-0151867/

Kama hauwezi njoo nayo kahama nikufanyie hiyo kazi
 
Ukitaka simu yako ifanye kazi kwa ufanisi inahitaji kubadilisha T-Mobile carrier kwenda any mobile carrier. Kama mtaalamu kidogo nenda hapa

htc-one.wonderhowto.com/how-to/get-your-htc-one-m7-ready-for-different-mobile-carrier-0151867/

Kama hauwezi njoo nayo kahama nikufanyie hiyo kazi
Okay. Ngoja tujaribu na jahgun tuone tutafikia wapi. asante mkuu
 
Nimecheki hapa itakuwa fresh, ngoja niweke hela kwenye bank card yangu niliyolink na paypal ili niweze kununua kesho huwa siiachi hela kwenye hizi card za kulipia online kwa sababu kuna watu wanna hack kwenye account yako na kutumia hela so kesho asbh itakuwa bomba
 
Nimecheki hapa itakuwa fresh, ngoja niweke hela kwenye bank card yangu niliyolink na paypal ili niweze kununua kesho huwa siiachi hela kwenye hizi card za kulipia online kwa sababu kuna watu wanna hack kwenye account yako na kutumia hela so kesho asbh itakuwa bomba
Okay. Many thanks
 
kaka kuna mambo mawili hapo.

ipo locked kwenye mtandao. waone jamaa wanao unlock simu.

imetengenezwa kwa ajili ya t-mobile. hapa sahau maana frequency ya t mobile yaani 1700 ni yao peke yao hapa hata aje fundi gani hawezi kukusaidia.

Mazee simu za kampuni gani za US zinaweza kufanya kazi bongo? Hata kwa kuwa unlocked na fundi?

Najua Sprint is out of the question na T-Mobile ni kama ulivyosema.

Vipi AT&T na Verizon?
 
Mazee simu za kampuni gani za US zinaweza kufanya kazi bongo? Hata kwa kuwa unlocked na fundi?

Najua Sprint is out of the question na T-Mobile ni kama ulivyosema.

Vipi AT&T na Verizon?

kaka gsm network yoyote ya verizon, t mobile na at&t inafanya kazi huku kwetu. make sure simu unayonunua ina 2100mhz. ukiangalia specs gsmarena utaiona juu.

ila kaka si marekani wamehalalisha ku unlock simu? unaweza zi unlock huko ukazileta zikiwa unlocked kabisa
 
Naomba msaada, nina simu yangu A21 pro haina network, ila wifinaweza kuunganisha na nikatumia kwa mtandao, nimehangaika imenishinda.
 
Back
Top Bottom