Naomba msaada kutoka kwa accountants or auditors

mwanawao

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2010
Posts
3,192
Reaction score
5,743
Nimepokea message hii kutoka kwa mdau anayelipa hela yangu kwa installment. Sasa kuna kiasi ambacho ameshalipa tayari na kuna kiasi ambacho kimebakia. Leo kaniandikia ujumbe "send to me the total balance due". Hiki ni kiasi ambacho ameshalipa tayari au ni kiasi kilichobakia? Please tusaidiane maana wengine tuling'ang'ania physics hatukuwahi kusoma accounts. Thanks JF.
 
Naamini anataka kujua kiasi ambacho bado unamdai! Mie sio accountant wala auditor.
 
Mbona kama haikuhitaji Accountants na Auditors kujua alichoandika hapo? Mimi naona issue hapo ni kiinglish zaidi, yaani mtu yeyote anayejua inglish ataelewa.
Balance = Salio/kiasi
Due = kilichofikia muda wa kulipwa/iliyobaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…