Naomba msaada kutoka kwa Wanasheria na Mawakili

Naomba msaada kutoka kwa Wanasheria na Mawakili

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Ward tribunal kwa sheria ya sasa (mabadiriko ya 2021) wanafanya mediation.

Swali langu ni hili: Mediation ikishindikana, nani anapewa certificate ya ku certify failed reconciliation. Je ni yule aliyeleta hoja kwenye ward au hata yule mwingine anaweza kupewa certificate?
 
Wote Wana haki ya kupewa Lakini zaidi ni yule anayetaka kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom