Naomba msaada kwa hili tatizo langu

Naomba msaada kwa hili tatizo langu

Joined
Apr 21, 2014
Posts
17
Reaction score
2
Tatizo nina uvimbe mdogo kwenye kon ambao nime dumu nao takriban miaka minne sasa Lakini haupungui wala hauzidi isitoshe bado hauja wahi kuniletea matatizo yoyote kama vile kuuma Nk. Kwa hiyo naomba msaada kujua tatizo langu pamoja na tiba yake isije kutokea madhara hapo baadae.
 
Back
Top Bottom