siku ya 14 tangu siku ya kuanza mens ndio siku ya yai kushuka. Mbegu ya kiume ina uwezo wa kusurvive mpaka siku tatu ikiwa ndani tayari kurutubisha. So kutokea hiyo siku ya 14 hesabu siku tatu kabla mpaka siku tatu baada, nikiwa na maana ya kuanzia siku ya 11 mpaka siku ya 17 ndio kupindi cha kupata ujauzito.
Hiyo tisa, kumi ni kwamba binadamu kutengenezwa ni mipango ya kimbingu, mwenye dunia asiporuhusu hupati ng'o hata ukizingatia vipi huo mzunguko. Akiruhusu fasta tu kitu kinakubali.
Jaribu kugipa gemu kwenye hizo siku then utanipa feedback.
Hiyo tisa, kumi ni kwamba binadamu kutengenezwa ni mipango ya kimbingu, mwenye dunia asiporuhusu hupati ng'o hata ukizingatia vipi huo mzunguko. Akiruhusu fasta tu kitu kinakubali.
Jaribu kugipa gemu kwenye hizo siku then utanipa feedback.