Asante mupiricon kwa taarifa nzuri, lakini kwa sisi ambao mizunguko yetu haipo kwenye mafungu hayo matatu uliyotaja tunafanyaje maana kwa mfano mimi mtiriko wangu wa siku mwaka jana ulikuwa hv 10.01.2012,
03.02.2012,
22.03.2012
16.04.2012
Nikajikuta nimepata ujauzito sasa nina mtoto na nimeanza kupata MP 27.03.2013 naomba unisaidie nijue siku hatari hapa maana huyu binti bado mchanga nikiteleza nitamtesa sana.
Salam wana jf Dokta.
Tafadhali ninaomba msaada taja hapo juu sina tatizo lolote pia si mtumiaji wa njia zozote za kupanga uzazi lakini tayari nina mtoto mmoja
Ni muda kidogo kama ninapojaribu mambo
huwa hola huenda labda nakosea tarehe husika
wanaojua siku sahihi naomba wanisaidie
pia tarehe za bleed ni kama zifuatazo hapa:-
16.10.2012
14.11.2012
12.12.2012
08.01.2013
05.02.2013
04.03.2013
02.04.2013
Hizi ndiyo tarehe za siku zangu lakini pia natanguliza shukrani kwa wote wataonishauri ili
mwezi huu nijaribu maana mtoto niliye nae ni wa Kike kama hata kuna namna ya kupata wa jinsia nyingine.
Asante mupiricon kwa taarifa nzuri, lakini kwa sisi ambao mizunguko yetu haipo kwenye mafungu hayo matatu uliyotaja tunafanyaje maana kwa mfano mimi mtiriko wangu wa siku mwaka jana ulikuwa hv 10.01.2012,
03.02.2012,
22.03.2012
16.04.2012
Nikajikuta nimepata ujauzito sasa nina mtoto na nimeanza kupata MP 27.03.2013 naomba unisaidie nijue siku hatari hapa maana huyu binti bado mchanga nikiteleza nitamtesa sana.
Ninavyofahamu siku za kushika mimba ni kama ifuatavyo,siku ya kumi na moja baada ya hedhi,12,13,14,15,16 na 17.Hizo zote zinauwezekano wa kushika mimba lakini siku ya 14 uwezekano ni mkubwa zaidi.
Salam wana jf Dokta.
mwezi huu nijaribu maana mtoto niliye nae ni wa Kike kama hata kuna namna ya kupata wa jinsia nyingine.