lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Tafadhari Madokta mliopo JF nisaidieni. Nimekuwa na tatizo la muwasho hasa baridi au maji yanapogusa ngozi yangu hasa nikioga maji ya baridi au nikinyeshewa na mvua. Tatizo hili limedumu kwa takribani miaka 20 ya utu uzima wangu.
Hali niliyonayo inakera sana maana nimalizapo kuoga shutrti nijikune tena kwa zaidi ya dk kumi. Adha niliwahi kwenzda hospitali nilielezwa kuwa ni mzio ila nilazima kwenda Hospitali kubwa. Je ni ugonjwa gani unisumbuao mwenzenu
Hali niliyonayo inakera sana maana nimalizapo kuoga shutrti nijikune tena kwa zaidi ya dk kumi. Adha niliwahi kwenzda hospitali nilielezwa kuwa ni mzio ila nilazima kwenda Hospitali kubwa. Je ni ugonjwa gani unisumbuao mwenzenu