BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Risiti ya ina faida gani hapo.....la.muhimu ni mama na mtotonashukuru sana wakuu kwa msaada wenu dawa imepatikana kwa msaada wa mhudumu wa hapa imegarimu 50000! sijajua ni halali au la maana hata risiti sijaewa.
lakini yote ya yote ajifungue tuu. uzazi umekua mgumu sana aisee unaweza kusema kuzaa njambo lisilo na maana kabisa.!
Yaani shangaa na wewehyu jamaa wa nchi gani ? dokta dawa anayo kwenye mfuko wa koti .badala atoe hela anazunguka dar nzima
jamaa anachekesha sana huyu halafu hapo hata dawa haitatumika wala nini ahahaaaRisiti ya ina faida gani hapo.....la.muhimu ni mama na mtoto
wala hiyo dawa haitatumika waliitaka tu hela.nashukuru sana wakuu kwa msaada wenu dawa imepatikana kwa msaada wa mhudumu wa hapa imegarimu 50000! sijajua ni halali au la maana hata risiti sijaewa.
lakini yote ya yote ajifungue tuu. uzazi umekua mgumu sana aisee unaweza kusema kuzaa njambo lisilo na maana kabisa.!
Hiyo Misoprostol niliwekea viwili kikaeleweka why akuandikie dawa isyopatikana kirahis na mtu anaendelea kusubiriKama ni cervical ripening tu si watumie hata misoprostol zinapatikana kwa urahisi tu.
Pole sananashukuru sana wakuu kwa msaada wenu dawa imepatikana kwa msaada wa mhudumu wa hapa imegarimu 50000! sijajua ni halali au la maana hata risiti sijaewa.
lakini yote ya yote ajifungue tuu. uzazi umekua mgumu sana aisee unaweza kusema kuzaa njambo lisilo na maana kabisa.!
Hiyo Misoprostol niliwekea viwili kikaeleweka why akuandikie dawa isyopatikana kirahis na mtu anaendelea kusubiri
Hapana Niljifungua nilkuwa sijapata uchungu ndo wakaniinduce nikapata uchungu kibokoBarbra uliitoa kumbe; daah!
hyu jamaa wa nchi gani ? dokta dawa anayo kwenye mfuko wa koti .badala atoe hela anazunguka dar nzima