Naomba msaada: Mzee wa miaka 94, kuishiwa nguvu na kupoteza fahamu kila siku zaidi ya masaa 2!

Naomba msaada: Mzee wa miaka 94, kuishiwa nguvu na kupoteza fahamu kila siku zaidi ya masaa 2!

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2016
Posts
2,633
Reaction score
2,297
Habari wandugu nina mzee wangu ana 94 years anasumbuliwa na tatizo moja Kkla siku anaweza kupoteza kumbukumbu na kuishiwa nguvu kabisa kama kwa saa moja au mpaka matatu baada ya hapo, anapata nguvu na kumbukumbu zinamrudia, anaweza kutembea na kuongea vizuri tu, utadhani hakuwa na tatizo msaada huu ni ugonjwa gani kwa wataalamu hospitali wakipima wanasema hamna kitu.
 
Kama kuna daktari yoyote atoe mwenye kutibu magonjwa ya wazee atoe namba tuwasiliane naweza pata msaada
 
Ka control blood sugar kwanza na hypertension. Ulete mrejesho.
 
Back
Top Bottom