Aminakizuguto
New Member
- Sep 29, 2018
- 1
- 0
Habari ya kazi wana jmii,
Nimekuja kujiuliza nilimepatwa na ugonjwa ilianza kama tonses nikaend hospitali nikaambiwa minyoo imejenga shingoni, nikapewa dawa haikunisaidia.
Nikaenda hospitali ya pili nikaandikiwa sindano za gender misen na crespen azikunisaidia mwenye kujua or mwenye kujua matibabu yake anishauri kitu kinanikaba kwenye koo muda mwingin napat vichembechembe vya njano vyenye harufu mbaya.
asanteni
Nimekuja kujiuliza nilimepatwa na ugonjwa ilianza kama tonses nikaend hospitali nikaambiwa minyoo imejenga shingoni, nikapewa dawa haikunisaidia.
Nikaenda hospitali ya pili nikaandikiwa sindano za gender misen na crespen azikunisaidia mwenye kujua or mwenye kujua matibabu yake anishauri kitu kinanikaba kwenye koo muda mwingin napat vichembechembe vya njano vyenye harufu mbaya.
asanteni