Naomba msaada namna ya kuinstal ubuntu

Naomba msaada namna ya kuinstal ubuntu

poposindege

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
453
Reaction score
175
Mambo JF sasa nataka kuinstal ubuntu au linux. Naomba kujua namna ya kuinstal na pc iwe na sifa ipi na je naweza kuinstal ubuntu/linux ktk pc yenye winXP na je ubuntu/linux naweza kuinstal program nyingine.Nini faida au hasara ya kuwa na ubuntu/linux? Wadau naomba msaada wenu
 
Mambo JF sasa nataka kuinstal ubuntu au linux. Naomba kujua namna ya kuinstal na pc iwe na sifa ipi na je naweza kuinstal ubuntu/linux ktk pc yenye winXP na je ubuntu/linux naweza kuinstal program nyingine.Nini faida au hasara ya kuwa na ubuntu/linux? Wadau naomba msaada wenu


Fuata yanayoelezwa ktk video hizi;






Au fuata maelezo yafuatayo

Download | Ubuntu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom