Naomba msaada namna ya kuwafukuza wapangaji wasumbufu na wachafu kwenye nyumba yangu

Naomba msaada namna ya kuwafukuza wapangaji wasumbufu na wachafu kwenye nyumba yangu

Siku zote unapodaiwa fanya mawasiliano na anaekudai. Mtie moyo utalipa mpe hata mipango yako. Lakini kama wanapiga kimya Fukuza
 
Unajiita great thinker alafu unasumbuliwa na mambo madogo kama hayo???

Ulivyo wapangisha uliwapa mkataba?
Kama uliwapa ulikuwa na mashariti gani?

Kama uliwapangisha kwa mdomo wacha wakusumbue iliujifunze kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani naomba msaada niwwfukuzeje wapangaji wa aina hii kwenye nyumba yangu.

1.Mmoja hajalipa kodi miezi mitano
2.Wapili hajalipa miezi miwili
3.Amemaliza juzi baada ya kukaa miezi minne bila kulipa Kodi.

Juu ya yote ni wachafu sana mpaka nyumba yangu mimingreatthinker mwenzenu naionea aibu.

Mbaya zaidi mimi sikai nao na Niko mbali kwahiyo wanatake hiyo advantage kunilipa miezi watakayo.

Nyumba iko dar namimi niko mbali sana hivyo ufwatiliaji wa karibu unakuwa mgumu.sana.
Siwataki kabisa Yani ningeweza wangeondoka hata usiku huu.

Ndugu yangu aliepo hapo dar ana mitkas yake mingi hivyo hana muda wakuwafwatikia.

Naomba msaada niwafukuzeje?
Unasubiri nini kuwatimua?

Au wa zile kada wenye sifa ya kutolipa kodi. Kwangu mtu hapitishi week. Vinginevyo aanze mbele.

Nyumba ya kupanga ni sawa na daladala. Nauli ni pango.
 
Kwani hukuwapa mikataba.
Hata mimi nimejiuliza hivyo. Inabidi uwe na mkataba wenye vipengele vinavyombana mpangaji kama malipo kwa wakati na akishindwa hatua gani zitachukuliwa. Pia hata mambo ya usafi yanatakiwa yawepo kwenye mkataba na pia mwenye nyumba unaweka kipengele kuwa kama ukiona inafaa unaweza kusitisha mkataba kwa mpangaji kwa kumpa notisi ya miezi mitatu kabla mkataba wake wa awali haujaisha
 
Mkuu nisaidie Sheria inasemaje maana huu ni mwaka wapili notice ya mdomo wamegoma kutoka.
Hapo ili pande mbili zisiumie Fanya hivi ,tengeneza mikataba ya miezi 3 halafu unawapa notice ya kuwaambia kwamba mpaka tarehe flani nyumba itafanyiwa ukarabati hivi wanalazimika kuondoka kwenye nyumba yako,kabla hujafanya hivyo hakikisha wote wamelipa kwanza kwa kuwachukulia hatua za kisheria vinginevyo ukubali hasara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishaanza kuona Wapangaji hawakulipi Kodi na wanakusumbua jua hata wao pia wameshaanza Kukudharau na wameona Udhaifu ndani yako. Na vile vile ukiona Wapangaji ni Wachafu jua ya kwamba kuna uwezekano mkubwa tu wakawa wameuakisi huo Uchafu walionao kutoka kwa ama mwenye Nyumba wao au wana Familia wake.
Niko km 3000 toka Dar sasa wameniakisi vipi hata huyo niliemkabidhi ni Mambo safi sio kitoto labda uniambie umbali wangu na ubize wa jamaa niliemkabidhi ila sio uchafu.
 
Mikataba niliwapa inayosoma hayo yote uliyoainisha mkuu mi Niko mbali na Dar na tz nadhani ndio maana wananipanda kichwani subirini hi korona iishe mtasoma magazeti ya Tanzania siku moja mwenye nyuma afanya ubaya kwa wapangaji wake.
Hata mimi nimejiuliza hivyo. Inabidi uwe na mkataba wenye vipengele vinavyombana mpangaji kama malipo kwa wakati na akishindwa hatua gani zitachukuliwa. Pia hata mambo ya usafi yanatakiwa yawepo kwenye mkataba na pia mwenye nyumba unaweka kipengele kuwa kama ukiona inafaa unaweza kusitisha mkataba kwa mpangaji kwa kumpa notisi ya miezi mitatu kabla mkataba wake wa awali haujaisha
 
Haupo siriazi
Siku zote hakuna mpangaji jeuri mbele ya mwenye nyumba

Hao ni wapangaji sio nduhuzo
Kitendo cha mpangaji kutolipa kodi tayari keshajifukuzisha sijui unasubiri nii zaidi ya kuwaandikia notisi ya kuhama

Inaonekana mzembe sana
Huyu mwenye nyumba anaogopa kuwafukuza atapoteza kodi ya miezi waliyokaa bure, kumbe kuendelea kukaa nao ndio hasara zaidi
 
Jamani naomba msaada niwwfukuzeje wapangaji wa aina hii kwenye nyumba yangu.

1.Mmoja hajalipa kodi miezi mitano
2.Wapili hajalipa miezi miwili
3.Amemaliza juzi baada ya kukaa miezi minne bila kulipa Kodi.

Juu ya yote ni wachafu sana mpaka nyumba yangu mimingreatthinker mwenzenu naionea aibu.

Mbaya zaidi mimi sikai nao na Niko mbali kwahiyo wanatake hiyo advantage kunilipa miezi watakayo.

Nyumba iko dar namimi niko mbali sana hivyo ufwatiliaji wa karibu unakuwa mgumu.sana.
Siwataki kabisa Yani ningeweza wangeondoka hata usiku huu.

Ndugu yangu aliepo hapo dar ana mitkas yake mingi hivyo hana muda wakuwafwatikia.

Naomba msaada niwafukuzeje?
Nenda kawaambie kesho unaiuza hiyo nyumba atakaebaki huko ndani nae unamuuza
 
Naomba nipe jukumu la kuwafwatilia na kuwafukuza...kila mpangaji utanipa 30tshs kwahyo 30*3wapangaji=90tshs +10tshs ya usafir jumla=100Tshs boss nyumba yako inakuwa haina wachafuz wa mazngira..
Jamani naomba msaada niwwfukuzeje wapangaji wa aina hii kwenye nyumba yangu.

1.Mmoja hajalipa kodi miezi mitano
2.Wapili hajalipa miezi miwili
3.Amemaliza juzi baada ya kukaa miezi minne bila kulipa Kodi.

Juu ya yote ni wachafu sana mpaka nyumba yangu mimingreatthinker mwenzenu naionea aibu.

Mbaya zaidi mimi sikai nao na Niko mbali kwahiyo wanatake hiyo advantage kunilipa miezi watakayo.

Nyumba iko dar namimi niko mbali sana hivyo ufwatiliaji wa karibu unakuwa mgumu.sana.
Siwataki kabisa Yani ningeweza wangeondoka hata usiku huu.

Ndugu yangu aliepo hapo dar ana mitkas yake mingi hivyo hana muda wakuwafwatikia.

Naomba msaada niwafukuzeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna njia kadhaa za kufanya.
1/Leta fundi ili akate huduma za umeme na maji kama yapo. Ng'oa kabisa miundombinu.
2/Leta fundi wa mbao, jifanye unarekebisha paa, ng'oa sehemu ya paa, paache wazi halafu sepa zako.
Duuu, asepe na paa? Watu wanasepa na kijiji sio paa mkuu
 
Niko km 3000 toka Dar sasa wameniakisi vipi hata huyo niliemkabidhi ni Mambo safi sio kitoto labda uniambie umbali wangu na ubize wa jamaa niliemkabidhi ila sio uchafu.
Km 3000? Uko nje ya nchi..
 
Back
Top Bottom