Kaka nashukuru, sana nataka nikatafute maisha kuleNi njia rahisi ila kama kuna member anayejua rahisi zaidi na nayoijua atakuambia.
Kwanini nasema hii ni rahisi...
Utakata tiketi Dar... utasafiri hadi tunduma hapo mtasimama maana itakuwa usiku mtalala na process za migration zinafanyika hapo. Baada ya hapo mtaendelea na na safari kwenye usafiri uleule kwenda lusaka.. mtafika lusaka..hapa chukua local buses 30000tsh-35000tsh to livingstone
kwa uzoefu sidhani kama utapata kwa muda huo usafiri direct to windhoek ikitegemea u mgeni. Unakata tiketi kesho unaliunga to windhoek.
So gharama..
Dar to lusaka 120000
kula unajua mwenyewe
Lusaka to livingstone 35000
Livingstone utalala lodge 40000
Livingstone to windhoek 115000-150000
windhoek utafika asubuhi itakuwa ni faida kwako kwa popote unapotaka kwenda.
Ukiwa na 450000 unafika vizuri.
Naomba tushirikishane kijana mwenzangu,Maisha ni kutegemeanaKaka nashukuru, sana nataka nikatafute maisha kule
mkuu asante kwa kumusaidia, lakini nashangaa siku hivi kuna google na watu bado wanauliza maswali kaa hizi, au pengine huyu english ni shinda sijuiKwa ndege au kwa bus? Kama ni kwa bus, unapanda bus mpaka tunduma tsh 40000 then itabidi ulale maaana utafika tdm saa nne usiku, usiku huo huo gonga passport cause border ni 24hrs, halafu asbh unapanda bus la ki zambia kwenda lusaka nauli yake ni roughly tsh 50000 which means usiku ule utaofika tdm u change kwacha, lusaka utafika saa sita usiku kama ni msafir usichukue lodge lusaka utalala hapo hapo stand yao ya bus inter city its much better than our ubungo, then kesho yake alfajir unapanda bus kwenda sesheke hiyo iko border ya zambia na namibia ni mwendo wa siku nzima naul mpaka kule border ni roughly tsh 40000 you will pass by livingstone then you go sesheke, hapo utalala asbh unakula vi tax ni kama buku mbili mpaka border, sasa sijui unaenda namibia which side???
Mkuu ukiona mtu anauliza mambo yanahusu maisha usijifanye kujua, humu watu wapo wanaishi huko unakouliza inakua rahisi kukupa mbili tatu za huko kwa mtu anaesafiri mara ya kwanza anaeuliza anajua vitu halisi na kukwepa risk ambazo ataambiwa.mkuu asante kwa kumusaidia, lakini nashangaa siku hivi kuna google na watu bado wanauliza maswali kaa hizi, au pengine huyu english ni shinda sijui
Katika pita pita zangu Nchi za huko naona Namibia na Ndugu yake Botswana ni pagumu kimaisha wao tuu wanaitafuta SA kitambo Namibia tulikua tunapaita mchanga wa chuma hapachimbiki kitu...au mbuzi kalamba reli kupata tuu nauli ya Windhoek mpaka Cape town ilikua inasumbua vijana walikua wanaomba lift za maroli yanayoenda cape town ila kama umeitwa na ndugu yako kashika njia poa ila kwa kuanza panasumbua kidogo...
Wanauza kitu cha Swazi na sembe kipindi fulani ilivuma kuchukua Gari Durban za Japan na kuuza Namibia Gari inapitia Gaborone unatokea kazungura unaitafuta sesheke border Wateja wengi walikuepo hapo walikua wananunua bei kubwa sasa na likifika tuu wanalichukua...Namibia kupo vizuri..ukipapatia kuna hela kichizi! Tatzo tu wabongo wanabana sana michongo..lakin matajiri weng wa south pesa yao inaingia ktoka namibia
Sent using Jamii Forums mobile app
Namibia?[emoji44][emoji44]....mbona watu wanakusifia hivoo?Katika pita pita zangu Nchi za huko naona Namibia na Ndugu yake Botswana ni pagumu kimaisha wao tuu wanakimbikia SA kutafuta maisha kitambo Namibia tulikua tunapaita mchanga wa chuma hapachimbiki kitu...au mbuzi kalamba reli kupata tuu nauli ya Windhoek mpaka Cape town ilikua inasumbua vijana walikua wanaomba lift za maroli yanayoenda cape town ila kama umeitwa na ndugu yako kashika njia poa ila kwa kuanza maisha pale panasumbua kidogo...
Duuh kwahiyo hakuna mchongo wowote palee?Wanauza kitu cha Swazi na sembe kipindi fulani ilivuma kuchukua Gari Durban za Japan na kuuza Namibia Gari inapitia Gaborone unatokea kazungura unaitafuta sesheke border Wateja wengi walikuepo hapo walikua wananunua bei kubwa sasa na likifika tuu wanalichukua...
Mimi sio muumini wa hizo biashara haramu ndio maana nasema pale pagumu kidogo,
Mkuu labda na uuzaji wa Madini wanunuzi wapo Namibia sema hii wanafanya vijana wenyeji kwa kwenda hata kuchukua Zambia,Angola,Tanzania na DRC...
i never pretend to know it all, you got my point very wrong, in todays world you dont need to ask lots of questions, mind you at google you will aslo get lots of comment, far much better than you can get here,so pls try and analyse things a bit before you throw comments, blessingsMkuu ukiona mtu anauliza mambo yanahusu maisha usijifanye kujua, humu watu wapo wanaishi huko unakouliza inakua rahisi kukupa mbili tatu za huko kwa mtu anaesafiri mara ya kwanza anaeuliza anajua vitu halisi na kukwepa risk ambazo ataambiwa.
umeona eeh nishakaaga oshakati labda he is going on official hustling.Katika pita pita zangu Nchi za huko naona Namibia na Ndugu yake Botswana ni pagumu kimaisha wao tuu wanakimbikia SA kutafuta maisha kitambo Namibia tulikua tunapaita mchanga wa chuma hapachimbiki kitu...au mbuzi kalamba reli kupata tuu nauli ya Windhoek mpaka Cape town ilikua inasumbua vijana walikua wanaomba lift za maroli yanayoenda cape town ila kama umeitwa na ndugu yako kashika njia poa ila kwa kuanza maisha pale panasumbua kidogo...
OK vibali vya wageni wafanye kazi hawatoi zaidi zaidi ilikua refugee paper...harafu Wa Namibia sio wanunuaji kama Zambia,Kwa mtu Mwenye hela kidogo Zambia maeneo mengi sijui Kitwe,Ndola,Lusaka,Living stone kwa bidhaa za Kkoo au SA wananunua sana tuu wao wakipata mshahara cha kwanza ni shopping kila mwezi tofauti na Nchi nyingi za kusini ukiondoa SA wao kila ijumaa siku ya kulipwa ndio wengi wananunua..Botswana wageni hasa Wazimbabwe wamekua wengi na utapeli umeongezeka pamoja na ujambazi napo sio kama kipindi cha nyuma pagumu kidogo...umeona eeh nishakaaga oshakati labda he is going on official hustling.
Sent using Jamii Forums mobile app
OK vibali vya wageni wafanye kazi hawatoi zaidi zaidi ilikua refugee paper...harafu Wa Namibia sio wanunuaji kama Zambia,Kwa mtu Mwenye hela kidogo Zambia maeneo mengi sijui Kitwe,Ndola,Lusaka,Living stone kwa bidhaa za Kkoo au SA wananunua sana tuu wao wakipata mshahara cha kwanza ni shopping kila mwezi tofauti na Nchi nyingi za kusini ukiondoa SA wao kila ijumaa siku ya kulipwa ndio wengi wananunua..Botswana wageni hasa Wazimbabwe wamekua wengi na utapeli umeongezeka pamoja na ujambazi napo sio kama kipindi cha nyuma pagumu kidogo...