Naomba msaada ndugu zangu.

Naomba msaada ndugu zangu.

4 PRINCE

Senior Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
142
Reaction score
7
Kuna dada yangu amenijia kutaka ushauri,amegundua kuwa mume wake ametembea na rafiki zake wawili,house girl wake,wifi yake yaani mke wa kaka yake,mwanaume huyu katembea pia na dada zake wa kuzaliwa nae,wawili.majirani zao zaidi ya wanne.

pia inasemekana huko nyuma kabla hajamuoa huyu dada,alikuwa na mke mwingine,ambapo alitembea na mama mzazi na dada wa huyo mke,pia aliwahi kufanya mapenzi na kichaa.amejaribu kufanya hesabu wanawake waliozini ni mume wake ni zaid ya 200.

Na mume huyu amekiri mwenyewe kwa kinywa chake baada ya kufanyiwa maombi.sasa anaomba msamaha akidai kuwa kulikuwa na nguvu iliyokuwa inamsukuma kufanya mambo hayo.maana mbali ya kufanya mapenzi na watu wote hao,pia alikuwa na tabia ya kujichua kwa kutumia picha za wanawake aliokuwa akikutana nao njiani,au wale waliokuwa wanamkataa,ingawa anadai alikuwa hakataliwi akimtaka mwanamke.wamo wake za watu wengi tu.

Huyu dada ananiuliza je amsamehe?au afanyeje?maana analia na kusema alikuwa hajitambui.Nawaomba ndugu zangu,nisaidieani,nimshauri vipi?
 
Mi sielewi, anataka amsamehe nini tena kama 'amekwishaombewa' na kukiri?
Yaishe, alikuwa na pepo na limeshatoka!
 
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Hayo mambo yashaisha waangalie mbele tu hakuna kurudi nyuma
 
Aisee....maajabu ya dunia hii ni mengi kweli!Too bad kila tunalokosea tunamsingizia shetani wa watu na mapepo utadhani hua yanawashika watu mkono kuwapeleka kusiko!

Kuhusu kama amsamehe au lah inabidi uwe ni uamuzi binafsi bila uchochezi kutoka kwa mtu yeyote maana leo na kesho akija kutembea na mwanae lawama zisije zikamwendea aliyeshawishi msamaha utolewe!Dada afikirie ni kiasi gani anampenda mumewe...kama anamwamini kuhusu kubadilika na ni kwa kiasi ganu yuko tayari kukutana na mengine ya ajabu zaidi huko mbeleni ikiwa mume hajabadilika ndo ajue kama amsamehe na kuendelea nae au amsamehe na kusonga mbele!!
Pole yake!
 
Kuna dada yangu amenijia kutaka ushauri,amegundua kuwa mume wake ametembea na rafiki zake wawili,house girl wake,wifi yake yaani mke wa kaka yake,mwanaume huyu katembea pia na dada zake wa kuzaliwa nae,wawili.majirani zao zaidi ya wanne.

pia inasemekana huko nyuma kabla hajamuoa huyu dada,alikuwa na mke mwingine,ambapo alitembea na mama mzazi na dada wa huyo mke,pia aliwahi kufanya mapenzi na kichaa.amejaribu kufanya hesabu wanawake waliozini ni mume wake ni zaid ya 200.

Na mume huyu amekiri mwenyewe kwa kinywa chake baada ya kufanyiwa maombi.sasa anaomba msamaha akidai kuwa kulikuwa na nguvu iliyokuwa inamsukuma kufanya mambo hayo.maana mbali ya kufanya mapenzi na watu wote hao,pia alikuwa na tabia ya kujichua kwa kutumia picha za wanawake aliokuwa akikutana nao njiani,au wale waliokuwa wanamkataa,ingawa anadai alikuwa hakataliwi akimtaka mwanamke.wamo wake za watu wengi tu.

Huyu dada ananiuliza je amsamehe?au afanyeje?maana analia na kusema alikuwa hajitambui.Nawaomba ndugu zangu,nisaidieani,nimshauri vipi?

amsamehe tena kwa moyo mmoja ila amwambie kuwa one mistake kwisha habari yake.na kweli akirudia tu hakuna kumsamehe tena, watu kama hawa ni kama kina klorokwini (makatuni) na wana heshima zao high konvisingi pawa
 
Aisee....maajabu ya dunia hii ni mengi kweli!Too bad kila tunalokosea tunamsingizia shetani wa watu na mapepo utadhani hua yanawashika watu mkono kuwapeleka kusiko!

Kuhusu kama amsamehe au lah inabidi uwe ni uamuzi binafsi bila uchochezi kutoka kwa mtu yeyote maana leo na kesho akija kutembea na mwanae lawama zisije zikamwendea aliyeshawishi msamaha utolewe!Dada afikirie ni kiasi gani anampenda mumewe...kama anamwamini kuhusu kubadilika na ni kwa kiasi ganu yuko tayari kukutana na mengine ya ajabu zaidi huko mbeleni ikiwa mume hajabadilika ndo ajue kama amsamehe na kuendelea nae au amsamehe na kusonga mbele!!
Pole yake!
thank you haitoshi lizzy ila nakupa mia kwa mia.kwa mtazamo wangu,umeandika point
 
huwezi kuambiwa na mtu kumsamehe isipokuwa wewe mwenyewe na moyo wako na pia uwe umeridhika na mabadiliko ya mumeo.
endelea kufwatilia tabia yake kwa karibu kujua kama ameachana na tabia mbaya aliyonayo..............inawezekana ameona tabia yake imegundulika sasa ameamua kuzuga kubadilika
 
Naamini ktk uwepo wa MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI. Aliye weka dini hakika alikuwa na akili sana na hadi sasa tunaona anavo endelea kuiamonaizi jamii, hebu angalia mtu anavo mkosea mwenzake tena mimakosa mikubwa mikubwa tuu alafu wanakutanishwa na kupatanishwa ktk misingi ya dini, mkosaji anawekwa kando na SHETANI NA USHETANI WAKE anasimamishwa na kubeba mimakosa yoooooooote ya mkosaji akiachwa! basi na mkosewaji kwa hisia zilizojengwa katika imani hiyo humchukia shetani na kuungana na mkosaji nao wakizidi kumshutum shetani! Unajua YESU atarudi kukomesha dhambi OLE WAKO AKUKUTE NAYO! kwan yeye shida yake ni dhambi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ndo alo ilenga
 
amsamehe tu.lakini huyo jamaa kawafaidi wote hao!?inatosha,inabidi sasa atulie angalie ndoa yake coz wazuri hawaishi.
 
Kuna dada yangu amenijia kutaka ushauri,amegundua kuwa mume wake ametembea na rafiki zake wawili,house girl wake,wifi yake yaani mke wa kaka yake,mwanaume huyu katembea pia na dada zake wa kuzaliwa nae,wawili.majirani zao zaidi ya wanne.

pia inasemekana huko nyuma kabla hajamuoa huyu dada,alikuwa na mke mwingine,ambapo alitembea na mama mzazi na dada wa huyo mke,pia aliwahi kufanya mapenzi na kichaa.amejaribu kufanya hesabu wanawake waliozini ni mume wake ni zaid ya 200.

Na mume huyu amekiri mwenyewe kwa kinywa chake baada ya kufanyiwa maombi.sasa anaomba msamaha akidai kuwa kulikuwa na nguvu iliyokuwa inamsukuma kufanya mambo hayo.maana mbali ya kufanya mapenzi na watu wote hao,pia alikuwa na tabia ya kujichua kwa kutumia picha za wanawake aliokuwa akikutana nao njiani,au wale waliokuwa wanamkataa,ingawa anadai alikuwa hakataliwi akimtaka mwanamke.wamo wake za watu wengi tu.

Huyu dada ananiuliza je amsamehe?au afanyeje?maana analia na kusema alikuwa hajitambui.Nawaomba ndugu zangu,nisaidieani,nimshauri vipi?

4 PRINCE
Kulikuwa na nguvu................................. Hajitambui............................. Like really??
When will women learn that enough is enough !?? In my opinion husbands lacking consequences in this society of ours for their disgusting actions such as above is what encourages these men kuendelea kufanya upuuzi kama huu!!!!
 
4 PRINCE
Kulikuwa na nguvu................................. Hajitambui............................. Like really??
When will women learn that enough is enough !?? In my opinion husbands lacking consequences in this society of ours for their disgusting actions such as above is what encourages these men kuendelea kufanya upuuzi kama huu!!!!

Kuna wanawake pia wa jinsi hiyo usisahau! Nilishashuhudia ugomvi mtaani ambapo wanawake wawili walikuwa wanapigana. Walipoulizwa kisa mmoja wao akasema: "Yeye alijifanya mwanamke na nusu kunichukulia mume wangu, nami nimemchukulia wake, bwana'ake wa pembeni, kaka yake na shemeji yake ili akome!"
 
Hivi huyo mama mkwe anaenda kutembea na mkwe ni akili?Na hao dada za mke ah!,anyway,mwambie kuwa aamue mwenyewe kama amsamehe au la,mambo mengine mpaka kinyaa!
 
Binadamu hivi kusamehe na kusahau vinaenda pamoja ,kusamehe ni muhimu kwa afya ya moyo wake ,kusahau mtu ame f.a.c.k wote hao.anauwezo wa kusahau , kama atakuwa akimwona then anaona umalaya wake ,msamaha utakuwa cover tu sio uhalisia!
 
Wasiwasi wangu ni kwamba ka huyo jamaa alishawahi kula kichaa, dada zake, mamamkwe hata mamake mzazi hatachelewa, tusibase sana kumlaumu shetani.
Kuhusu msamaha huyo dada aamue mwenyewe kwa kuzingatia mazingira alivofanya makosa, na the way anavoomba msamaha. Mi sitoi jibu.
 
Jamani hapo pagumu sana, maana jamaa amepita kiwango!!! mmh sijui tumpeleke Samunge....???? dada kaza moyo majaribu ya dunia haya
 
Huyu alizaliwa duniani kimakosa au? maana hata haridhiki kabisa hadi kujichua jamani?
 
Jamaa anahitaji maombi, maana anaweza hata kuwageuka binti zake!!!
 
huwezi kuambiwa na mtu kumsamehe isipokuwa wewe mwenyewe na moyo wako na pia uwe umeridhika na mabadiliko ya mumeo.
endelea kufwatilia tabia yake kwa karibu kujua kama ameachana na tabia mbaya aliyonayo..............inawezekana ameona tabia yake imegundulika sasa ameamua kuzuga kubadilika
kivuli hakina rangi
 
Back
Top Bottom