Msinitukane tafadhali, ningependa kujua juu ya hili suala maana ishu ya kutoa mimba ina madhara makubwa hasa kama imefanyika zaidi ya mara moja. Ni njia zipi au ni sehemu zipi za kumchunguza uliye naye ili kubaini kama alishafanya huo uovu? Mwenye uelewa tafadhali anijulishe na wengine pia wafahamu maana dunia ya sasa ni noma! Siku hizi kuna artificial bikin! Nimepeleka jf doctor ckupata huko jibu!
Nafikiri wapo ma dr humu watakujibu mkuu
kabla sijajibu swali lako jibu langu UNGEMKUTA NA MTOTO AU WATOTO UNGEMUOA?
Wadada wameishia mitini, mtihani mzito huo, wengi hvy vitamb ni sbb hiyo wakitoa mimba tumbo halirudi! Cjui kweli wadada watatuambia!
Ukiuona huu mstari, ujue tayari manyoya huyo.
Si kweli... Naomba utoe uthinitisho wa kidaktari!!
Unajuaje mi sio daktari!!?
Nimesema weka uthibitisho, sijasema wewe sio daktari