Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Tafadhali husika na kichwa Cha Uzi huu. Awali Nilidhani Ni "dark mode" lakini siyo. Nilinunua kwa mtu ikiwa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani Kama Ni wino. Chake pic Hapo juuUlinunua ikiwa hivyo?? Hukuuliza ina shida gani? Huenda wino umevujia
Night modeNaiti muudi
Nimejaribu, imegomaJaribu kwenda kwenye dispaly settings, au Graphics settings then cheza na "hue and saturation"
ImegomaHiyo ni theme badilisha
Duh! Ngoja nitafute monitor alafu nitaleta marejeshoRgb rangi inayotumika ama standard ifananiayo ikikosekana rangi ya kijani hutokea hivyo.
![]()
Zikiwepo zote 3 ndio kioo kinaonekana cheupe, ukiona nyeupe imekua replaced na Magenta (hio kama pink) ujue kijani imekosekana.
Mara nyingi tatizo hilo husababishwa na mkanda/waya unao connect machine na display.
Ila kuhakiki zaidi tumia monitor ya nje, kama monitor pia inakua pink ina maana tatizo lipo deep zaidi maybe gpu ya Laptop im3zingua, ila kama monitor ya nje inaonesha vizuri ni cable tu ya display.
Tafadhali husika na kichwa Cha Uzi huu. Awali Nilidhani Ni "dark mode" lakini siyo. Nilinunua kwa mtu ikiwa hivyo
**** la mamaakoMzawadie GF au Dada, wanapendaga rangi ya pink.
**** la mamaako
Night mode