NGABHAGHILA
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 140
- 31
Wana jamvi ninaomba msaada kujua gharama halisi za ushuru kwa TRA pale unapoagiza gari nje ya nchi, chukulia gharama za kununua ni dola 990, ukijumlisha na CIF na Inspectin inafika labda dola 2400 je gharamaa zingine hapo ni za nini ukindoa kupata namba ya gari? Vinginevyo niaombmnisaiie kujua mchanganuo wa gharama za ununuzi wa gari iliyotumika.
Ili usaidiwe utuambie ni aina gani ya gari, mwaka uliotengenezwa hilo gari na uwezo wa engine (cc) ya hiyo gari. Baada ya hapo utapata makadirio ya gari lako
Ili usaidiwe utuambie ni aina gani ya gari, mwaka uliotengenezwa hilo gari na uwezo wa engine (cc) ya hiyo gari. Baada ya hapo utapata makadirio ya gari lako
Ni SUZUKI ESUDO, ya mwaka 1999, cc 1990. CIF na Inpection imeonyesha ni dola 2747
Kama ni TD11W kodi pekee ni tsh 4,867,050 na kama ni TL52W kodi ni 5,445,243 pia kama TD62 kodi ni 5,779,541 hayo ni makadirio yanayoenda na ukweli kama hujaelewa sehemu uliza
hapo juu sijaelewa wakuu, nielezeni