madogo msijari lazima muwe na ufahamu kuwa ile ni softwere so it work according to programming code of instraction commanded muwe na utulivu hasa wakati huu usiguseguse hizo koz ziliZo wekwa hapo maana ukibonyeza ikakubali haijarish ni kiswahil au coz gan unataka hutaki utachaguliwa maana hakuna mkono wa mtu ,so ushauri tulieni softwere will instract what next haija wah na hakuna mtu atakae kosa kwa uzoefu wangu ijapo si msemaji wa tcu.but i have experience na softwre hz.fro st.joseph university III YEAR