Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,986
- 5,058
- Thread starter
- #21
Mkuu biashara yangu ni ndogo tu ya kuzungushia hela ya Mboga.Kama ni mfanyabiashara mkubwa Fanya kitu kinaitwa tax appeal, ndo njia pekee, ila unaifanya ukiwa tayar umeshalipa kodi, wanakurudishia kodi iliozidi hakuna namna nyingne ndugu TRA sio mchezo, waweza fungu kweli ukapata hasara
Fanya jambo moja tu, lipa kodi then kata rufaa.
Fuata tax appeal procedures
Waone tax consultant wakujitegemea
Inatufanya tuishi na kulipa kodi na mtaji kukua taratibu