Naomba msaada/ushauri wakuu

Naomba msaada/ushauri wakuu

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
748
Reaction score
367
Nahitaji sehemu ya kufungua restaulant ya kwaida yenye kuhudumia watu 10 mpaka 15 vyakula vya uhakika ni wali ugali,pilau, biliani supu chai na vyakula kwa oda, ni maeneo gani mazuri kwa hapa dar na flem nahitaji isiyo zidi 50,000/= kwa mwezi.

0714 045 080. serious wakuu.
 
Back
Top Bottom