Naomba msaada wa ajira au connection

Naomba msaada wa ajira au connection

Mtuniwatu

Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
45
Reaction score
133
Habari zenu wanajukwaa!

Mie Ni kijana wa kitanzania.

Shida yangu nakuja kwenu kuomba Ajira mwenye kuweza kunisaidia iwe kwa kuniunganisha mahala nitashukuru.

Nina Hali mbaya mno ndugu mpaka inafikia hatua nakunywa uji nalala na familia yangu ya watoto wawili ,yaani mpaka nalia mbele ya wanangu Mana nimesoma kwa nguvu mno kuwa nije niwe na maisha mazuri Ila mpaka kula tu inakuwa kazi. Jamani haya maisha mpaka unajiuliza kuwa umekosea wapi. Umri wangu mie Ni mtu mzima Mana Niko late 30s.

1-Ninaweza kufundisha Basic maths na physics vizuri mno Niko tayari kujitoa ili watoto watoe majibu kuwa wanaridhika namie.

Hapa kwenye kufundisha niko tayari kuingia mktaba na mwajiri anilipe kulingana navyofaulisha watoto,yaani Kama fomu two nipewe baadaye akipata matokeo ndio aamue kunilipa ama asinilipe. Aniambie kuwa F haitakiwi kabisa kwenye fizikia ama hesabu Niko tayari muda huo ananilipa hela ya kununua chakula Cha familia namie nakula jamani. Hapa Niko serious Nina uwezo wa kutosha na ninajiamini kabisa hili sibabaishi. Hasahasa olevo advance labda mpaka niji brush mwaka mzima akiwa amenipangia olevo nafundisha. Niko tayari kufundisha mpaka nje muda wa kazi yaani kukesha na watoto ninao uwezo huo. Nina uhakika nitaleta matokeo chanya kwenye shule yako.

2- Naweza kusimamia site ya ujenzi Kama foreman.

3- Ninaweza nikafanya Kama labour kwenye site za ujenzi na mahala popote ninaombeni Niko tayari kufanya kazi za kuvuja jasho.

4- Ninaweza selling services Ile skills kumshawishi mteja ninayo hapa Niko tayari kujitoa ili mwajiri akiridhika namie tunafanya kazi Mana Nina uhakika nitaongeza thamani kwake.

5-komputa naweza kutumia pia na flow English bila ya Ile ya yes and no,Mara of course.

6-Ninaamini mtu Ni watu so watu ndio wanaokusaidia ama wanakunyanyua baadaye jini la kiburi linatuingilia na kuleta dharau kwa watu wanaokuletea ridhiki.

Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.

Kama mtu anahitaji mawasiliwano yangu anaweza akaniambia nikamtumia pm.

Hapa chini naambatanisha vyeti vyangu Cha olevo, advance na chuo.

Screenshot_20230124-010938_1.jpg

Screenshot_20230124-011352_1.jpg

Screenshot_20230124-011142_2.jpg




Soma Mrejesho: Shukrani kwa member aliyenisaidia
 
Habari zenu wanajukwaa!

Mie Ni kijana wa kitanzania.

Shida yangu nakuja kwenu kuomba Ajira mwenye kuweza kunisaidia iwe kwa kuniunganisha mahala nitashukuru.

Nina Hali mbaya mno ndugu mpaka inafikia hatua nakunywa uji nalala na familia yangu ya watoto wawili ,yaani mpaka nalia mbele ya wanangu Mana nimesoma kwa nguvu mno kuwa nije niwe na maisha mazuri Ila mpaka kula tu inakuwa kazi. Jamani haya maisha mpaka unajiuliza kuwa umekosea wapi.
Umri wangu mie Ni mtu mzima Mana Niko late 30s

1-Ninaweza kufundisha Basic maths na physics vizuri mno Niko tayari kujitoa ili watoto watoe majibu kuwa wanaridhika namie.

Hapa kwenye kufundisha Niko tayari kuingia mktaba na mwajiri anilipe kulingana navyofaulisha watoto,yaani Kama fomu two nipewe baadaye akipata matokeo ndio aamue kunilipa ama asinilipe. Aniambie kuwa F haitakiwi kabisa kwenye fizikia ama hesabu Niko tayari muda huo ananilipa hela ya kununua chakula Cha familia namie nakula jamani. Hapa Niko serious Nina uwezo wa kutosha na ninajiamini kabisa hili sibabaishi. Hasahasa olevo advance labda mpaka niji brush mwaka mzima akiwa amenipangia olevo nafundisha. Niko tayari kufundisha mpaka nje muda wa kazi yaani kukesha na watoto ninao uwezo huo. Nina uhakika nitaleta matokeo chanya kwenye shule yako.

2- Naweza kusimamia site ya ujenzi Kama foreman.

3- Ninaweza nikafanya Kama labour kwenye site za ujenzi na mahala popote ninaombeni Niko tayari kufanya kazi za kuvuja jasho.

4- Ninaweza selling services Ile skills kumshawishi mteja ninayo hapa Niko tayari kujitoa ili mwajiri akiridhika namie tunafanya kazi Mana Nina uhakika nitaongeza thamani kwake.

5-komputa naweza kutumia pia na flow English bila ya Ile ya yes and no,Mara of course.

6-Ninaamini mtu Ni watu so watu ndio wanaokusaidia ama wanakunyanyua baadaye jini la kiburi linatuingilia na kuleta dharau kwa watu wanaokuletea ridhiki.

Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.

Kama mtu anahitaji mawasiliwano yangu anaweza akaniambia nikamtumia pm.

Hapa chini naambatanisha vyeti vyangu Cha olevo, advance na chuo.

View attachment 2493805
View attachment 2493808
View attachment 2493810
Mkuu uko vizuri sana, wacha wenye line waje kukutoa.
 
Habari zenu wanajukwaa!

Mie Ni kijana wa kitanzania.

Shida yangu nakuja kwenu kuomba Ajira mwenye kuweza kunisaidia iwe kwa kuniunganisha mahala nitashukuru.

Nina Hali mbaya mno ndugu mpaka inafikia hatua nakunywa uji nalala na familia yangu ya watoto wawili ,yaani mpaka nalia mbele ya wanangu Mana nimesoma kwa nguvu mno kuwa nije niwe na maisha mazuri Ila mpaka kula tu inakuwa kazi. Jamani haya maisha mpaka unajiuliza kuwa umekosea wapi. Umri wangu mie Ni mtu mzima Mana Niko late 30s.

1-Ninaweza kufundisha Basic maths na physics vizuri mno Niko tayari kujitoa ili watoto watoe majibu kuwa wanaridhika namie.

Hapa kwenye kufundisha niko tayari kuingia mktaba na mwajiri anilipe kulingana navyofaulisha watoto,yaani Kama fomu two nipewe baadaye akipata matokeo ndio aamue kunilipa ama asinilipe. Aniambie kuwa F haitakiwi kabisa kwenye fizikia ama hesabu Niko tayari muda huo ananilipa hela ya kununua chakula Cha familia namie nakula jamani. Hapa Niko serious Nina uwezo wa kutosha na ninajiamini kabisa hili sibabaishi. Hasahasa olevo advance labda mpaka niji brush mwaka mzima akiwa amenipangia olevo nafundisha. Niko tayari kufundisha mpaka nje muda wa kazi yaani kukesha na watoto ninao uwezo huo. Nina uhakika nitaleta matokeo chanya kwenye shule yako.

2- Naweza kusimamia site ya ujenzi Kama foreman.

3- Ninaweza nikafanya Kama labour kwenye site za ujenzi na mahala popote ninaombeni Niko tayari kufanya kazi za kuvuja jasho.

4- Ninaweza selling services Ile skills kumshawishi mteja ninayo hapa Niko tayari kujitoa ili mwajiri akiridhika namie tunafanya kazi Mana Nina uhakika nitaongeza thamani kwake.

5-komputa naweza kutumia pia na flow English bila ya Ile ya yes and no,Mara of course.

6-Ninaamini mtu Ni watu so watu ndio wanaokusaidia ama wanakunyanyua baadaye jini la kiburi linatuingilia na kuleta dharau kwa watu wanaokuletea ridhiki.

Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.

Kama mtu anahitaji mawasiliwano yangu anaweza akaniambia nikamtumia pm.

Hapa chini naambatanisha vyeti vyangu Cha olevo, advance na chuo.

View attachment 2493805
View attachment 2493808
View attachment 2493810
Bro una akili sana one day YES UTATOKA
 
Bro una akili sana one day YES UTATOKA
Ahsante kwa kunitia moyo mkuu. Yaani unasoma unakesha,yaani unasoma mpaka unaambiwa kuwa wewe sio binadamu wa kawaida kisa tu umasikini ulioukuta home japo uupige teke mpaka Sasa unakuta Ni bila bila,mbu zako,unalala kwenye dawati,unakula maharage mpaka yenye panya,unavumilia mateso ili uje uwe na maisha mazuri Mana ukiwa mdogo wakubwa wanakuaminisha kuwa Soma Sana ili uje uishi vizuri. Yaani mpaka kazi za kufanya Kama kibarua Niko tayari Wala mie sijali ilimradi Nile na familia wapate hata viazi vya alfu moja na maji ama na uji walale bila tumbo kusokota kwa maumivu ya njaa.
 
Ahsante kwa kunitia moyo mkuu. Yaani unasoma unakesha,yaani unasoma mpaka unaambiwa kuwa wewe sio binadamu wa kawaida kisa tu umasikini ulioukuta home japo uupige teke mpaka Sasa unakuta Ni bila bila,mbu zako,unalala kwenye dawati,unakula maharage mpaka yenye panya,unavumilia mateso ili uje uwe na maisha mazuri Mana ukiwa mdogo wakubwa wanakuaminisha kuwa Soma Sana ili uje uishi vizuri. Yaani mpaka kazi za kufanya Kama kibarua Niko tayari Wala mie sijali ilimradi Nile na familia wapate hata viazi vya alfu moja na maji ama na uji walale bila tumbo kusokota kwa maumivu ya njaap

Pole mkuu.kwann ulioa ukiwa na hali iyo.?
 
Pole mnoo Mkuu, hakika CV imeshiba haswa🫡.

Hakika yatapita haya masahibu unayopitia mkuu[emoji1488]

Hakuna shida ya kudumu katika hii dunia, naimani kabisa kupitia hapa JF.

Mungu atatenda jambo lake[emoji2973] usihuzunike sana na kukata tamaa.

Keep your head up[emoji1434]

Wenye wako vitengo watapita hapa na kuona, naimani hawatokuacha mtupu[emoji1488]
 
Habari zenu wanajukwaa!

Mie Ni kijana wa kitanzania.

Shida yangu nakuja kwenu kuomba Ajira mwenye kuweza kunisaidia iwe kwa kuniunganisha mahala nitashukuru.

Nina Hali mbaya mno ndugu mpaka inafikia hatua nakunywa uji nalala na familia yangu ya watoto wawili ,yaani mpaka nalia mbele ya wanangu Mana nimesoma kwa nguvu mno kuwa nije niwe na maisha mazuri Ila mpaka kula tu inakuwa kazi. Jamani haya maisha mpaka unajiuliza kuwa umekosea wapi. Umri wangu mie Ni mtu mzima Mana Niko late 30s.

1-Ninaweza kufundisha Basic maths na physics vizuri mno Niko tayari kujitoa ili watoto watoe majibu kuwa wanaridhika namie.

Hapa kwenye kufundisha niko tayari kuingia mktaba na mwajiri anilipe kulingana navyofaulisha watoto,yaani Kama fomu two nipewe baadaye akipata matokeo ndio aamue kunilipa ama asinilipe. Aniambie kuwa F haitakiwi kabisa kwenye fizikia ama hesabu Niko tayari muda huo ananilipa hela ya kununua chakula Cha familia namie nakula jamani. Hapa Niko serious Nina uwezo wa kutosha na ninajiamini kabisa hili sibabaishi. Hasahasa olevo advance labda mpaka niji brush mwaka mzima akiwa amenipangia olevo nafundisha. Niko tayari kufundisha mpaka nje muda wa kazi yaani kukesha na watoto ninao uwezo huo. Nina uhakika nitaleta matokeo chanya kwenye shule yako.

2- Naweza kusimamia site ya ujenzi Kama foreman.

3- Ninaweza nikafanya Kama labour kwenye site za ujenzi na mahala popote ninaombeni Niko tayari kufanya kazi za kuvuja jasho.

4- Ninaweza selling services Ile skills kumshawishi mteja ninayo hapa Niko tayari kujitoa ili mwajiri akiridhika namie tunafanya kazi Mana Nina uhakika nitaongeza thamani kwake.

5-komputa naweza kutumia pia na flow English bila ya Ile ya yes and no,Mara of course.

6-Ninaamini mtu Ni watu so watu ndio wanaokusaidia ama wanakunyanyua baadaye jini la kiburi linatuingilia na kuleta dharau kwa watu wanaokuletea ridhiki.

Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.

Kama mtu anahitaji mawasiliwano yangu anaweza akaniambia nikamtumia pm.

Hapa chini naambatanisha vyeti vyangu Cha olevo, advance na chuo.

View attachment 2493805
View attachment 2493808
View attachment 2493810

Mungu wetu sote.utashinda [emoji1421]
 
Nina shida ya kazi sana ila kiukweli huyu mwenzangu ana shida zaidi. Acha leo nitumie siku yangu kumuombea ndugu hapa apate kazi aitunze familia yake.

Mkuu tunakuombea aisee. Waajiri na wenye mapenzi mema hope mtaona imani moyoni na kumsaidia huyu ndugu hapa.
 
Back
Top Bottom