Hot27
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 372
- 691
Habari za wakati huu wanajukwaa!?
Sidhani kama huu ni uziwangu wa kwanza jukwaani juu ya maombi ya kazi. Mimi ni kijana (ME 23) ninaishi Dar es salaam, nimetoka chuo mwakajana ila sikufanikiwa kumaliza (juu ya changamoto zilizonipata) hivyo mwakahuu mwezi wa 11 nitaenda kumalizia mtihani wangu, nimesomea Mass Communication and Public relations.
Nia ya kujakwenu waungwana ni kwa mwenye connection ya Kazi/ajira/kibarua aweze kunisaidia maana hali ni tight mtaani.
Mimi ni muaminifu na mchapakazi haswa.
Ninazungumza na kusoma lugha mbili (Swahili&English).
Ninaweza kuendana na mazingira ama kujifunza kwa urahisi.
Nina ujuzi na graphics design, Communication skills, broadcasting, excellent customer service.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
NB: Nafasi hata ilio nje ya fani yangu naweza fanya pia
MUNGU AWE NANYI NYOTE
Sidhani kama huu ni uziwangu wa kwanza jukwaani juu ya maombi ya kazi. Mimi ni kijana (ME 23) ninaishi Dar es salaam, nimetoka chuo mwakajana ila sikufanikiwa kumaliza (juu ya changamoto zilizonipata) hivyo mwakahuu mwezi wa 11 nitaenda kumalizia mtihani wangu, nimesomea Mass Communication and Public relations.
Nia ya kujakwenu waungwana ni kwa mwenye connection ya Kazi/ajira/kibarua aweze kunisaidia maana hali ni tight mtaani.
Mimi ni muaminifu na mchapakazi haswa.
Ninazungumza na kusoma lugha mbili (Swahili&English).
Ninaweza kuendana na mazingira ama kujifunza kwa urahisi.
Nina ujuzi na graphics design, Communication skills, broadcasting, excellent customer service.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
NB: Nafasi hata ilio nje ya fani yangu naweza fanya pia
MUNGU AWE NANYI NYOTE