Habari jf.
Nina mdogo wangu toka jana anaharisha maji maji yenye makamasi yenye rangi ya kahawia ametumia erthromine (sijui kama nimeiandika sawa) bila mafanikio Leo akatumia dawa iliyoandikwa norzole kwa ajili ya kuzuia kuharisha lakini bado anaharisha.
Naomba ushauri atumie nini ili akate kuharisha.
Natanguliza shukrani.
Habari jf.
Nina mdogo wangu toka jana anaharisha maji maji yenye makamasi yenye rangi ya kahawia ametumia erthromine (sijui kama nimeiandika sawa) bila mafanikio Leo akatumia dawa iliyoandikwa norzole kwa ajili ya kuzuia kuharisha lakini bado anaharisha.
Naomba ushauri atumie nini ili akate kuharisha.
Natanguliza shukrani.
Habari jf.
Nina mdogo wangu toka jana anaharisha maji maji yenye makamasi yenye rangi ya kahawia ametumia erthromine (sijui kama nimeiandika sawa) bila mafanikio Leo akatumia dawa iliyoandikwa norzole kwa ajili ya kuzuia kuharisha lakini bado anaharisha.
Naomba ushauri atumie nini ili akate kuharisha.
Natanguliza shukrani.
Pole sana, naona hapo ndugu hembu muwahishe hospitali ili wajue ni nini, ndio watampa dawa sahihi. Ila kwa jinsi ulivyoeleza kuna uwezekano mkubwa akawa na amoeba na kuna dawa nzuri sana kwa ajili ya ugonjwa huo, ila apate kwanza vipimo.
mpige gunzi huko chini,tatizo likizidi mwone Dr