Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,496
Habari jf.
Nina mdogo wangu toka jana anaharisha maji maji yenye makamasi yenye rangi ya kahawia ametumia erthromine (sijui kama nimeiandika sawa) bila mafanikio Leo akatumia dawa iliyoandikwa norzole kwa ajili ya kuzuia kuharisha lakini bado anaharisha.
Naomba ushauri atumie nini ili akate kuharisha.
Natanguliza shukrani.
Nina mdogo wangu toka jana anaharisha maji maji yenye makamasi yenye rangi ya kahawia ametumia erthromine (sijui kama nimeiandika sawa) bila mafanikio Leo akatumia dawa iliyoandikwa norzole kwa ajili ya kuzuia kuharisha lakini bado anaharisha.
Naomba ushauri atumie nini ili akate kuharisha.
Natanguliza shukrani.