Naombe wenye huruma wanisaidie,mm nimechagua vyuo vikuu v3 yaan UDOM,UDSM§DUCE ,Baadaye nikaenda kumalizia vyuo viwil,bt mpaka sasa vyuo nilivyoongeza havionekan kila nikiongeza profile yangu haivionesh lkn vinaonekana vitatu2.Vp hapo cwez kukosa chuo wakat wa SELECTION au NIFANYEJE NA CKU NDO ZNAISHA?Natanguliza shukran kwa wale wenye msaada kwangu na Mungu awabariki