NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Wapendwa wana jf naomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu dawa ainaya PREGABALIN nimeandikiwa dawa hizi jana kutibu maumivu ya kiuno lakini nilipo soma kikaratasi cha maelekezo nimetishika kumeza.
Kilcho nitisha side effect zake tena unaweza ku comit suicide nakadhalika kwahilo si unaweza ukawa chizi jamani
Unatibu moja unapata mapya matan nilimpigia daktari aliye niandikia kwa ushauri zaidi lakini haja nipa ushauri wowote.
Kilcho nitisha side effect zake tena unaweza ku comit suicide nakadhalika kwahilo si unaweza ukawa chizi jamani
Unatibu moja unapata mapya matan nilimpigia daktari aliye niandikia kwa ushauri zaidi lakini haja nipa ushauri wowote.