I believe on Miracles
Member
- Apr 12, 2023
- 10
- 14
Shukrani Mkuu....Nimeweka akilini kila wazo lako.Sehem nyingine nenda mwenge, cocacola road ulizia ofisi za NABAKI AFRIKA kila siku wanatafuta watu wa kupakia mizigo ya magari yanayopeleka oda mikoani jichanganye na kule
unatafuta kazi ya aina gani maeneo gani maana isije ukawa kama kijana mmoja alinishangaza amehitimu SUA masuala ya kilimo lakini hataki kazi za susimaimizi shambani anataka mwanzoni tu akiajiriwa apate kazi ya ofisini kwenye kiyoyozi.Habari za pilika ndugu zangu.
Nimerudi tena Ndugu zangu, bado sijapata kazi tangu niombe msaada humu ndani.
Leo naomba Mnisaidie walau majina ya viwanda vitoavyo kazi kwa hapa Dar es salaam Ili niweze kujaribu bahati yangu.
Hali ni mbaya Wakuu, nimebanwa na madeni kila kona.
Naombeni msaada
Nipo dar es salaam.unatafuta kazi ya aina gani maeneo gani maana isije ukawa kama kijana mmoja alinishangaza amehitimu SUA masuala ya kilimo lakini hataki kazi za susimaimizi shambani anataka mwanzoni tu akiajiriwa apate kazi ya ofisini kwenye kiyoyozi.
kila la heri. fuata ushauri wa wadau, lakini ondoa mentality ya kazi weka shughuli ili hata ukipata ya kujiajiri basi uibambe kisawasawaNipo dar es salaam.
KAZI yoyote halali Mkuu
Elimu yangu ni ya Sekondari
Ya kujiajiri kwasasa ni ngumu kwangu Ndugu. Sina pakuanzia kimtajikila la heri. fuata ushauri wa wadau, lakini ondoa mentality ya kazi weka shughuli ili hata ukipata ya kujiajiri basi uibambe kisawasawa
Kiwanda kinaitwaje na wanalipajeNenda mikocheni B pale kuna kiwanda wanatafuta watu
Sio god, ni God!!!zina maana mbili tofauti,ni ugonjwa wa watu wengi.Pole god will help.....
aya mzungu tupe tofuat sasa ya Mungu na munguSio god, ni God!!!zina maana mbili tofauti,ni ugonjwa wa watu wengi.