Naomba msaada wa kisheria jamani.

Onguluo

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
406
Reaction score
116
Kuna mtu amevamia eneo langu la shamba hekari 20 na kuharibu miti na kulima shamba hilo, nilifungua kesi ya uharibifu wa mali na uvamizi. Mahakama ilitoa hukumu kwamba nikafungue kesi kwenye Baraza la Ardhi ya kata ili kujua mmiliki halali wa ardhi japokuwa iliwasilisha nyaraka za umiliki halali wa eneo hili. Je nifanyeje wanajf. Kama nilifungua kesi ya madai ya uharbifu lkn hukumu inatoka ya ardhi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…