Naomba msaada wa Kisheria Kanuni za kazi

Naomba msaada wa Kisheria Kanuni za kazi

MDAU TZ

Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
12
Reaction score
53
Habari wapendwa?

Tafadhali naomba ufafanuzi wenu juu ya hili

Je, nini maana ya Part time worker? Na sheria ya kazi imetafsiri vipi juu ya Part time?

Na je, Huyu Part time worker ni lazima akatwe pesa kwa ajili ya mifuko ya akiba ya kijamii?
 
Back
Top Bottom