Kuna mzungu aliajiri watanzania wengi kwa mikataba ya kudumu kwa sheria za Tanzania anataka kuivunja na kulipa stahiki za wafanyakazi wote. Tunaomba msaada wenu kisheria Je tunastahili kupewa Mshahara wa miezi mingapi? Hawa Jamaa hawachelewi kusema mwezi mmoja. Nawasilisha.