Capital
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,468
- 1,063
Wakuu,
Niende kwenye hoja moja kwa moja.
Wiki mbili zilizopita nilikosea kutoa muamala wa pesa kwa wakala wa halopesa kutoka kwenye line yangu ya halotel na dakika hiyo hiyo nikawapigia huduma kwa wateja na wakaisimamisha na kisha wakanitumia namba ya uthibitisho.
Na maelezo niliyopewa ni kuwa pesa yangu ingerejeshwa kwenye acct yangu kati ya saa 24 -72.
Tokea masaa 72 yalipoisha, sijawahiona kitu. Kila nikiwapigia simu wananipa majibu ya janja janja. Nimepoteza mengi kutokana na halopesa kutonilipa pesa zangu halali.
Ombi langu naomba kama kuna wanasheria wenye uwezo mkuje mnisaidie nione hawa wahuni wana nini wanachoringia wakati pesa ni zangu.
Asanteni
Niende kwenye hoja moja kwa moja.
Wiki mbili zilizopita nilikosea kutoa muamala wa pesa kwa wakala wa halopesa kutoka kwenye line yangu ya halotel na dakika hiyo hiyo nikawapigia huduma kwa wateja na wakaisimamisha na kisha wakanitumia namba ya uthibitisho.
Na maelezo niliyopewa ni kuwa pesa yangu ingerejeshwa kwenye acct yangu kati ya saa 24 -72.
Tokea masaa 72 yalipoisha, sijawahiona kitu. Kila nikiwapigia simu wananipa majibu ya janja janja. Nimepoteza mengi kutokana na halopesa kutonilipa pesa zangu halali.
Ombi langu naomba kama kuna wanasheria wenye uwezo mkuje mnisaidie nione hawa wahuni wana nini wanachoringia wakati pesa ni zangu.
Asanteni