josewatano
Member
- Sep 20, 2011
- 59
- 26
wadau nataka kuanzisha kampuni ya udadali wa kuuza na kununua bahatai mbaya miye siyo mwana sheria nilikuwa naomba msaada wa kimawazo ya kisheria nianzie wapi ili kampuni ya ngu isije kutana na wajanja wajanja ikapotelea pasipo julikana