Naomba msaada wa kisheria

Naomba msaada wa kisheria

Keben

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
725
Reaction score
175
Mm ni mtumishi wa serikali. Kuna mtumishi mwenzangu ambaye tunafanyanaye kazi kituo kimoja. Ametamka wazi kuwa atakuja kunilisha sumu, japo hakuniambia mm moja kwa moja ila ushahidi upo.
 
Mm ni mtumishi wa serikali. Kuna mtumishi mwenzangu ambaye tunafanyanaye kazi kituo kimoja. Ametamka wazi kuwa atakuja kunilisha sumu, japo hakuniambia mm moja kwa moja ila ushahidi upo. Je naweza kumshtaki?
 
Kesi ya moja kwa moja hii, si unasema ushahidi upo? Unasubiri nini kujongea Polisi?
 
..
Mm ni mtumishi wa serikali. Kuna mtumishi mwenzangu ambaye tunafanyanaye kazi kituo kimoja. Ametamka wazi kuwa atakuja kunilisha sumu, japo hakuniambia mm moja kwa moja ila ushahidi upo.
.ushahidi uliopo Ni wa namna gani?
 
Huo ni umbea na sio ushahidi here say evidence is not alowend bfr th court of law....huo ushahidi wa kusikia hautoshi kumtia mtu hatiani ..
 
Back
Top Bottom