Naomba msaada wa kisheria

Naomba msaada wa kisheria

kwetu mtama

Senior Member
Joined
Feb 5, 2015
Posts
160
Reaction score
25
Dadangu kaachika mwaka jana ila kabla ya ndoa yake akimkuta mwenzake kwenye ndoa, mume hakuwa na kitu (nyumba na baadhi ya mali) walipangisha na kutafuta kila walichonacho sasa hv, wana nyumba nzur na yakisasa,wanabiashara...kabla ya talaka shemeji alikuwa akisika UPATI KITU nikikuacha....dada ana elimu ya kutosha kufuatilia ili na ata hajui aanzie wapi? Kakaake niko mbali na nyumbani kikazi..Je sheria inasemaje kwa ili? Wapi pakuanzia ili apate haki yake?
 
kama walikuwa na ndoa halali basi aende katika balaza la usuruhishi la ndoa akiomba talaka, akiruhusuwa basi wataenda mahakama ili itoe talaka, baada ya talaka mali lazima zigawiwe kwa wanandoa kulingana na mchango wa kila mmoja. kama hawakuwa na ndoa halali aende mahakamani kuomba separation na baada ya separation mali pia zitagawanywa kwa wanandoa.
cha msingi ni kuandaa ushahidi wa jinsi alivyo changia ktk kupata mali walizo nazo
 
Back
Top Bottom