Naomba msaada wa kitaalam kwa haya yaliyonipata nikiwa mtoto

Naomba msaada wa kitaalam kwa haya yaliyonipata nikiwa mtoto

Light saber

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2017
Posts
4,368
Reaction score
7,935
Jinsi nilivyo, ulivyo ni matokeo ya Malezi/makuzi.

Hii ni story ya maisha yangu, nilizaliwa 1998, mjini Singida Hospitali ya Makiungu na kupewa Jina Julius na baba yangu.

Kwa mujibu wao na watu walionilea ni kwamba nilikuwa active sana na, nilipenda kujifunza, I was a prodigy. Kwa kumbukumbu zangu Maisha nyumbani yalikuwa mwake Sana, atukuwahi kukosa chochote. Mzee alihakikisha Mambo ni Safi. Nyumbani Tulikuwepo mimi dada yangu na my two stepbrothers, Maisha yalikuwa ya furaha na amani.

Fast forward 2003 Tulitenganishwa na mama kwa sababu ambazo mimi mpaka leo siziamini na ni ambazo zimebeba kumbukumbu za maumivu makubwa Sana kwangu.

Baba aliugua kwa kumbukumbu zangu za utoto, Alipata mardhi ya miguu na mengine ambayo mpaka leo huwa naambiwa ni siri na hayanihusu mimi ni mtoto tuu.

Walifika Ndugu mjini wakakomba kila kitu walichoacha ni kaka zangu upande wa mama, sisi wawili tulisongwa kama wanyama baba yangu Mgonjwa asijue afanye nini, alikuwa akilia tuu.

Nakumbuka Ilikuwa njia panda mfano wa herufi T Mama alisimama chini Sisi tukiwa juu Ilikuwa kama kilimani hivi huku akilia kwa uchungu mkubwa na sisi pia tukilia Sana, Safari ya Moshi ilianza.

Tulipokelewa vizuri lakini kwa udogo wangu nilijua mambo siyo sawa. Ni kama vile tulipelekwa jela kubadilishwa tabia na mtazamo, maumivu makali, mateso n.k, mambo ambayo yamenifanya..

Guys kwa mlioelewa please im seeking professional help naumia mno, nashindwa hadi kuendelea.

Mtapata shida nikiwa nimekufa wanangu na siyo nikiwa hai.

Miss you dad.
 
Niliyoyapitia yananifanya niwe mtu wa huruma Sana na kujitoa kuliko uwezo esp pale mtu anapokuwa na tatizo kama ninao msaada , I give it all at the end naonekana boya.. muda mwingine najisahau mimi binafsi .
 
Jinsi nilivyo, ulivyo ni matokeo ya Malezi/makuzi.

Hii ni story ya maisha yangu, nilizaliwa 1998, mjini Singida Hospitali ya Makiungu na kupewa Jina Julius na baba yangu.

Kwa mujibu wao na watu walionilea ni kwamba nilikuwa active sana na, nilipenda kujifunza, I was a prodigy. Kwa kumbukumbu zangu Maisha nyumbani yalikuwa mwake Sana, atukuwahi kukosa chochote. Mzee alihakikisha Mambo ni Safi. Nyumbani Tulikuwepo mimi dada yangu na my two stepbrothers, Maisha yalikuwa ya furaha na amani.

Fast forward 2003 Tulitenganishwa na mama kwa sababu ambazo mimi mpaka leo siziamini na ni ambazo zimebeba kumbukumbu za maumivu makubwa Sana kwangu.

Baba aliugua kwa kumbukumbu zangu za utoto, Alipata mardhi ya miguu na mengine ambayo mpaka leo huwa naambiwa ni siri na hayanihusu mimi ni mtoto tuu.

Walifika Ndugu mjini wakakomba kila kitu walichoacha ni kaka zangu upande wa mama, sisi wawili tulisongwa kama wanyama baba yangu Mgonjwa asijue afanye nini, alikuwa akilia tuu.

Nakumbuka Ilikuwa njia panda mfano wa herufi T Mama alisimama chini Sisi tukiwa juu Ilikuwa kama kilimani hivi huku akilia kwa uchungu mkubwa na sisi pia tukilia Sana, Safari ya Moshi ilianza.

Tulipokelewa vizuri lakini kwa udogo wangu nilijua mambo siyo sawa. Ni kama vile tulipelekwa jela kubadilishwa tabia na mtazamo, maumivu makali, mateso n.k, mambo ambayo yamenifanya..

Guys kwa mlioelewa please im seeking professional help naumia mno, nashindwa hadi kuendelea.

Mtapata shida nikiwa nimekufa wanangu na siyo nikiwa hai.

Miss you dad.
Pole sana ndugu, Singida ni nyumbani kwetu.

Yaliyopita si ndwele tugange yajayo, pia neno la Mungu linasema hivi;

Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani. Isa 43:18 SUV

Samehe endelea na maisha yako, ukiendelea kukumbuka mambo yanayoumiza moyo wako unaweza kuzalisha jambo baya kwenye maisha yako.

Mshukuru Mungu kukulinda na mabaya yote Hadi Leo upo hai.
 
Pole sana ndugu, Singida ni nyumbani kwetu.

Yaliyopita si ndwele tugange yajayo, pia neno la Mungu linasema hivi;

Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani. Isa 43:18 SUV

Samehe endelea na maisha yako, ukiendelea kukumbuka mambo yanayoumiza moyo wako unaweza kuzalisha jambo baya kwenye maisha yako.

Mshukuru Mungu kukulinda na mabaya yote Hadi Leo upo hai.
Amen brother.

Mungu akubariki .


Ahsante Sana .
 
Guys kwa mlioelewa please im seeking professional help naumia mno, nashindwa hadi kuendelea.
Kwanza pole sana kwa uliyoyapitia, unapitia kitu kinachoitwa stigma, kikizidi kinaleta maumivu yanayoitwa stigmata, haya sasa ni maumivu ya kweli na sio maumivu ya stigma.

Unahitaji tiba za aina 3
1. Physiology treatment
2. Physiology treatment ya psycho therapy
3. Spiritual treatment and holistic treatment.

Mimi japo ni Msukuma ila Singida inanihusu maana Mzee wangu alioa Mwanamke wa Kinyiramba na mambo ya huko nayajua.

Unaumia sana kwasababu ya lack of knowledge nini kilimpata your dad hadi akafa, was it natural sickness or mambo yetu yale!.

1. Stigmata inahitaji hospital treatment.
2. Stigma inahitaji psycho therapy ambayo tayari umeianza bila kujijua, kitendo tuu cha kufunguka humu ni a very heavy load imeitua.
3. Kama kifo cha baba ni mambo yetu yale, unaweza ukawa unaumia kwasababu your dad huku alipo anateseka, hivyo spiritual and holistic treatment itakusaidia hadi kuongea nae what had happened na ukiujua ukweli utapona

Tembelea mitaa hii itakusaidia Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?


P
 
Kwanza pole sana kwa uliyoyapitia, unapitia kitu kinachoitwa stigma, kikizidi kinaleta maumivu yanayoitwa stigmata, haya sasa ni maumivu ya kweli na sio maumivu ya stigma.

Unahitaji tiba za aina 3
1. Physiology treatment
2. Physiology treatment ya psycho therapy
3. Spiritual treatment and holistic treatment.

Mimi japo ni Msukuma ila Singida inanihusu maana Mzee wangu alioa Mwanamke wa Kinyiramba na mambo ya huko nayajua.

Unaumia sana kwasababu ya lack of knowledge nini kilimpata your dad hadi akafa, was it natural sickness or mambo yetu yale!.

1. Stigmata inahitaji hospital treatment.
2. Stigma inahitaji psycho therapy ambayo tayari umeianza bila kujijua, kitendo tuu cha kufunguka humu ni a very heavy load imeitua.
3. Kama kifo cha baba ni mambo yetu yale, unaweza ukawa unaumia kwasababu your dad huku alipo anateseka, hivyo spiritual and holistic treatment itakusaidia hadi kuongea nae what had happened na ukiujua ukweli utapona

Tembelea mitaa hii itakusaidia Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?


P
Nimekuelewa bro , Ngoja nipitie Huo uzi
 
Back
Top Bottom