Naomba Msaada wa kitaalam kwa wafanyakazi wa Airtel

Naomba Msaada wa kitaalam kwa wafanyakazi wa Airtel

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Naitaji msaada wa kitaalam Kwa wafanyakazi wa kampuni ya simu ya Airtel

Kuna kijana wangu, ambae ni mtunza bustan na usafi wa nyumba, ameondoka na funguo za gari yangu Kwa bahati mbaya

Aliniomba bag dogo, nikampatia sasa nilisahau kutoa funguo na diary zangu

Sasa simpati kwenye simu na Sina mtu ambae namjua anaemjua

Swali langu ni je hakuna means yoyote ambayo inaweza kutumika nikampata hata mtu/watu ambao alikuwa anawasiliana nao ?

Possibly wao wakawa wanamjua hata kwake au kwao

Shukrani
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Naitaji msaada wa kitaalam Kwa wafanyakazi wa kampuni ya simu ya Airtel

Kuna kijana wangu, ambae ni mtunza bustan na usafi wa nyumba, ameondoka na funguo za gari yangu Kwa bahati mbaya

Aliniomba bag dogo, nikampatia sasa nilisahau kutoa funguo na diary zangu

Sasa simpati kwenye simu na Sina mtu ambae namjua anaemjua

Swali langu ni je hakuna means yoyote ambayo inaweza kutumika nikampata hata mtu/watu ambao alikuwa anawasiliana nao ?

Possibly wao wakawa wanamjua hata kwake au kwao

Shukrani
Pole. Ulishatatua hii changamoto?
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema

Naitaji msaada wa kitaalam Kwa wafanyakazi wa kampuni ya simu ya Airtel

Kuna kijana wangu, ambae ni mtunza bustan na usafi wa nyumba, ameondoka na funguo za gari yangu Kwa bahati mbaya

Aliniomba bag dogo, nikampatia sasa nilisahau kutoa funguo na diary zangu

Sasa simpati kwenye simu na Sina mtu ambae namjua anaemjua

Swali langu ni je hakuna means yoyote ambayo inaweza kutumika nikampata hata mtu/watu ambao alikuwa anawasiliana nao ?

Possibly wao wakawa wanamjua hata kwake au kwao

Shukrani
Nenda polisi upewe barua then wapi Irtel shop ya karibu watasaidia...I hope
 
Back
Top Bottom