Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Hatari sanaAcha kabisa, nilishawahi kuingia pharmacy na kuvua nguo wanichome sindano hapo nimetapika sana kisa tumbo tu nilioni hospitali sifiki. Baada ya kuchoma diclofenac likapoa nikarudi home mzima 😀😀😀😀
Kuna ndugu yangu mmoja akiingia period utadhani amerogwa ni anagalagala balaaa. Nilisikia wanawake wanaosumbuliwa na Mp kiasi hiko kuwa wakishabeba unazitoa to case solved
Cc Smart911