Naomba msaada wa kiufundi kwa matatizo haya ya Premio

Naomba msaada wa kiufundi kwa matatizo haya ya Premio

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,093
Kwema wataalam?

Nilinunua Premio ya 1.8 L kwa mdau mmoja, shida ilikuwa ni tairi za mbele kugonga na pia ukiwasha AC inakuwa kama kuna kamlio ka nyaya kama kugusana hivi...kama msikiavyo Nyaya za umeme.

Halafu pia unapowasha tu Engine ni kama sterling kwa mbali inakuwa na mtikisiko, mpaka uconcertrate kuangalia na kushika.

Pamoja na kwamba Nafahamu natakiwa nipeleke kwa Fundi, nimekuja kwenu ili nipate uzoefu wenu katika haya, kabla sikaenda kupigiwa Ramli na mafundi.

Karibuni wakuu, na Ningependa kufanya kazi na Fundi yoyote anayeamini ana uwezo mzuri wa kusaidia.
 
Hapo kwa haraka haraka almost bush za mbele na mkono n ya kuchange io sterling fluid umekagua iko level ? Japo probably nayo nusu kaputi ktk sterling reck
 
Hapo kwa haraka haraka almost bush za mbele na mkono n ya kuchange io sterling fluid umekagua iko level ? Japo probably nayo nusu kaputi ktk sterling reck
Sometimes ukiwasha gari kama ina miss steering ina behave kama alivyoeleza mleta mada... Haitokuwa mbaya kukagua na plugs pia
 
Na mimi naomba nisaidiwe.

Nilinunua premio kama yako Ila naona ulaji wa mafuta kama umechangamka flan ivi Ila sijui wapi nianzie ili kujua tatizo

I hope humu wapo manguli wa kutatua matatizo ya ulaji wa mafuta

Note; uendeshaji wangu ni wakawaida sio ule wakukimbizana sana huwa nakimbiza pale inapostahili but mostly natembelea 50kmph and above na sometimes less
 
Na mimi naomba nisaidiwe.

Nilinunua premio kama yako Ila naona ulaji wa mafuta kama umechangamka flan ivi Ila sijui wapi nianzie ili kujua tatizo

I hope humu wapo manguli wa kutatua matatizo ya ulaji wa mafuta

Note; uendeshaji wangu ni wakawaida sio ule wakukimbizana sana huwa nakimbiza pale inapostahili but mostly natembelea 50kmph and above na sometimes less
Most cases huwa wanasema ni kuangalia plug kama zimechoka, na mambo mengine...ngoja wataalam wazidi kurusaidia
 
Hapo kwa haraka haraka almost bush za mbele na mkono n ya kuchange io sterling fluid umekagua iko level ? Japo probably nayo nusu kaputi ktk sterling reck
Yeah kuhusu kugonga miguu ya mbele naona ni Bush mzee, hili la AC na sterling ndo sijaelewa bado, japo haitetemeki sana kiasi kama hujawa makini huwezi kuigundua
 
Back
Top Bottom