Naomba msaada wa kiufundi.

Naomba msaada wa kiufundi.

mcoloo

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
918
Reaction score
1,402
Wadau poleni kwa pilika pilika za kutwa, Mimi naomba msaada Nina gari langu aina ya Isuzu trooper , nimepatwa na tatizo la accelerator peddle haipigi race , ina maana ukikanyaga peddle inavutia chini kabisa tena ni baada ya sekunde Fulani kupita na unaponyanyua mguu ili ukanyage kanyage kama vile unapiga race haipokei naomba msaada wenu wadau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
When you press accelerator its goes Quick or Slowly as usual...?
 
Kamba yako ya accelerator imekatika; kijana wangu aliwahi kukutana na tatizo hilo usiku wa manane akiwa kwenye highway nikaneda kumsaidia kwa kufunga accelerator katika position ya gea 1 moja mpaka alipofika nyumbani ambapo tuliweza kubadilisha kamba hiyo kwa kutumia kamba ya breki za baiskeli. Unaweza kutumia kamba ya breki za baiskeli badala ya kutafuta kamba origino inayoweza kuwa ni ghali zaii ya ile kamba ya breaki za baiskeli.
 
Back
Top Bottom