pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 879
- 618
Ni kama wiki 3 sasa toka niugue,nilipoteza maji mengi kwa kuhara kwa cku 3,nikalazwa kwa cku 4 na kuwekewa drip 19,... madrip 13 ya maji,1 la glucose na 5 za dawa mbalimbali.Shida inakuja,nimesha pona tatizo lipo mgongoni,nahisi nyama zinavuta kuelekea katkat ya mgongo,cjui ni misuli...Na ndani ya mapaja nyama zinabana kwenda ndani,na shingoni ivo ivo.Mikono nikinyosha vidole,nyama za kiganjani zinauma na kuvutika.Wataalamu msaada wenu!