Naomba msaada wa kujua Soko la Kaa, Pweza, Ngisi

Naomba msaada wa kujua Soko la Kaa, Pweza, Ngisi

Kiparamoto

Senior Member
Joined
Oct 1, 2015
Posts
100
Reaction score
100
Salaam wakuu,

Mimi ni kijana mpambanaji na mhitimu wa chuo nipo mjini Dar es salaam, katika kupambana na maisha na ukosefu wa ajira nimejitahidi kufanya biashara mbalimbali ambazo zimeweza kunifikisha hapa nilipo.

Nimefanya sana biashara ya nafaka mbalimbali na kuku kutoa mikoani kuleta huku mjini, ila kutokana na changamoto mbalimbali nilishindwa kuendelea na biashara hizo.

Katika kujichanganya mjini nilipata fursa ya soko la samaki aina ya kaa na pweza ambapo kuna jamaa alikuwa ananunua kwa bei nzuri tu then yeye huenda kuuza kwa mahotel/migahawa ya wachina (nilipewa fununu na watu). Baada ya kuzungumza nae nikatafuta mahali kwa kupata samaki hao kwa bei nzuri na kisha kuanza kupeleka kwa jamaa.

Biashara ilionyesha kulipa, lakini cha kushangaza baada ya kupeleka mzigo mara mbili jamaa akaanza kunitolea nje akisema kwa sasa hana soko (hakutaka kuzungumza kiundani zaidi) ni kama hamna tena biashara inayoendelea baina yetu tena, ukizingatia tayari nishapata uwakika wa samaki ninapoenda kuchukua.

Lengo la uzi huu ni kutaka msaada wa soko la hao samaki (Pweza, kaa, ngisi) kwa yeyote anaejua au kufahamu mahali kwenye soko la uhakika.

Natanguliza shukrani.

Wasalaam.
 
Si kwamba hamna soko. Soko haliwezi potea ghafla hivyo, ni kwamba mwana ashapata mtu mwingine ambaye ukute anampatia kwa bei ya chini yake.

Ila mkuu hizo products naamini zina soko kubwa tu. Vipi ushapita mahotelini? Kama una uhakika wa mzigo constantly na ni mkubwa, hutakosa.

Na hawa wa mitaani wanaouza pweza je nao umewapitia uwe unawasupply mzigo?
 
Si kwamba hamna soko. Soko haliwezi potea ghafla hivyo, ni kwamba mwana ashapata mtu mwingine ambaye ukute anampatia kwa bei ya chini yake.

Ila mkuu hizo products naamini zina soko kubwa tu. Vipi ushapita mahotelini? Kama una uhakika wa mzigo constantly na ni mkubwa, hutakosa.

Na hawa wa mitaani wanaouza pweza je nao umewapitia uwe unawasupply mzigo?

Shukrani kwa mchango wako boss,

Kwa hotelini, sijawahi kucheki kutokana na mzigo wangu kuwa kidogo hasa kutokana na biashara yenyewe kuwa inaanza.

Nafikiria kuanza kupita kunegotiate nao ikiwezekana na mimi kufungua hata vijiwe viwili.
 
weka mawasiliano nahtaj pweza kaa na ngisi kila siku, niko Dodoma mjini.
 
sorry me naomba kuku uliza katika biahara ya kuku ulio kuwa ukiifanya nichangamoto gani ulizokutananazo na zikakufanya huachane na biashara iyo ndugu nakama uko tayali tunaweza zungumza 0625826352
 
Salaam wakuu,

Mimi ni kijana mpambanaji na mhitimu wa chuo nipo mjini Dar es salaam, katika kupambana na maisha na ukosefu wa ajira nimejitahidi kufanya biashara mbalimbali ambazo zimeweza kunifikisha hapa nilipo.

Nimefanya sana biashara ya nafaka mbalimbali na kuku kutoa mikoani kuleta huku mjini, ila kutokana na changamoto mbalimbali nilishindwa kuendelea na biashara hizo.

Katika kujichanganya mjini nilipata fursa ya soko la samaki aina ya kaa na pweza ambapo kuna jamaa alikuwa ananunua kwa bei nzuri tu then yeye huenda kuuza kwa mahotel/migahawa ya wachina (nilipewa fununu na watu). Baada ya kuzungumza nae nikatafuta mahali kwa kupata samaki hao kwa bei nzuri na kisha kuanza kupeleka kwa jamaa.

Biashara ilionyesha kulipa, lakini cha kushangaza baada ya kupeleka mzigo mara mbili jamaa akaanza kunitolea nje akisema kwa sasa hana soko (hakutaka kuzungumza kiundani zaidi) ni kama hamna tena biashara inayoendelea baina yetu tena, ukizingatia tayari nishapata uwakika wa samaki ninapoenda kuchukua.

Lengo la uzi huu ni kutaka msaada wa soko la hao samaki (Pweza, kaa, ngisi) kwa yeyote anaejua au kufahamu mahali kwenye soko la uhakika.

Natanguliza shukrani.

Wasalaam.

Salaam wakuu,

Mimi ni kijana mpambanaji na mhitimu wa chuo nipo mjini Dar es salaam, katika kupambana na maisha na ukosefu wa ajira nimejitahidi kufanya biashara mbalimbali ambazo zimeweza kunifikisha hapa nilipo.

Nimefanya sana biashara ya nafaka mbalimbali na kuku kutoa mikoani kuleta huku mjini, ila kutokana na changamoto mbalimbali nilishindwa kuendelea na biashara hizo.

Katika kujichanganya mjini nilipata fursa ya soko la samaki aina ya kaa na pweza ambapo kuna jamaa alikuwa ananunua kwa bei nzuri tu then yeye huenda kuuza kwa mahotel/migahawa ya wachina (nilipewa fununu na watu). Baada ya kuzungumza nae nikatafuta mahali kwa kupata samaki hao kwa bei nzuri na kisha kuanza kupeleka kwa jamaa.

Biashara ilionyesha kulipa, lakini cha kushangaza baada ya kupeleka mzigo mara mbili jamaa akaanza kunitolea nje akisema kwa sasa hana soko (hakutaka kuzungumza kiundani zaidi) ni kama hamna tena biashara inayoendelea baina yetu tena, ukizingatia tayari nishapata uwakika wa samaki ninapoenda kuchukua.

Lengo la uzi huu ni kutaka msaada wa soko la hao samaki (Pweza, kaa, ngisi) kwa yeyote anaejua au kufahamu mahali kwenye soko la uhakika.

Natanguliza shukrani.

Wasalaam.
Ndugu naomba unicheki kwa namba hii tuzungumze kuhusu pweza na ngisi 0717012885
 
Nicheki nikuunganishe na Kaa na ukitaka kwa wingi nenda Mtwara usisahau leseni ya maliasili 0710881879
 
Nicheki nikuunganishe na Kaa na ukitaka kwa wingi nenda Mtwara usisahau leseni ya maliasili 0710881879
Jamaa pweza anao tayari,
anachohitaji ni sehemu ya kupeleka hao pweza wake.

Siku kadha nyuma nilikuwa kisiwani Mafia, huko Pweza wa 3,000/= kwa hapa dar anauzwa kwa wastani wa 18,000/=
 
Salaam wakuu,

Mimi ni kijana mpambanaji na mhitimu wa chuo nipo mjini Dar es salaam, katika kupambana na maisha na ukosefu wa ajira nimejitahidi kufanya biashara mbalimbali ambazo zimeweza kunifikisha hapa nilipo.

Nimefanya sana biashara ya nafaka mbalimbali na kuku kutoa mikoani kuleta huku mjini, ila kutokana na changamoto mbalimbali nilishindwa kuendelea na biashara hizo.

Katika kujichanganya mjini nilipata fursa ya soko la samaki aina ya kaa na pweza ambapo kuna jamaa alikuwa ananunua kwa bei nzuri tu then yeye huenda kuuza kwa mahotel/migahawa ya wachina (nilipewa fununu na watu). Baada ya kuzungumza nae nikatafuta mahali kwa kupata samaki hao kwa bei nzuri na kisha kuanza kupeleka kwa jamaa.

Biashara ilionyesha kulipa, lakini cha kushangaza baada ya kupeleka mzigo mara mbili jamaa akaanza kunitolea nje akisema kwa sasa hana soko (hakutaka kuzungumza kiundani zaidi) ni kama hamna tena biashara inayoendelea baina yetu tena, ukizingatia tayari nishapata uwakika wa samaki ninapoenda kuchukua.

Lengo la uzi huu ni kutaka msaada wa soko la hao samaki (Pweza, kaa, ngisi) kwa yeyote anaejua au kufahamu mahali kwenye soko la uhakika.

Natanguliza shukrani.

Wasalaam.
Wee njoo hapa nikupe connection
 
Jamaa pweza anao tayari,
anachohitaji ni sehemu ya kupeleka hao pweza wake.

Siku kadha nyuma nilikuwa kisiwani Mafia, huko Pweza wa 3,000/= kwa hapa dar anauzwa kwa wastani wa 18,000/=
Mafia nauli ya boti Bei gani
 
Back
Top Bottom