Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Hela za moto zipo nyingi tu mkuu.. Ila mashart yake ni balaa sana,Naombeni mtu yoyote au yeye mwenyewe kama atapita humu, naomba kuonana na watu hawa ili wanipe connection ya maisha, wanapata hela wapi? Hawa vijana wadogo lakini pesa ndefu sana. Msaada tafadhali.
Miaka mingi hiyo takuwa nimekula vya kutosha. Hela za moto zipo nyingi tu mkuu.. Ila mashart yake ni balaa sana,
. Sasa hivi wataalam wameenda mbali zaidi unapewa utajiri ndani ya miaka 15, baada ya hapo unakata moto hakuna msamaria.
Ukilipia ndiyo anakukutanisha na hao wenye hela au ndiyo anakuonyesha mchongo mzimaAna group la Whatsapp ukilipia Laki 1 ndio unaungwa humo.
Njia zangu zioni kama tatoboa kabisaAiseee pambana kwa njia zako mkuuu hawa watu wanasiri nzito sanaa.
Tajiri gani han,gai usoni,utajiri unaonekana kwenye sura huyo chief god ni pimbi mmoja tuuu.
Hivi hizo hela wanatoa wapi? Nahitaji kuzipata na mimiHaha😂😂,..
Anyways ngoja nikusaidie kuwataja Chief Godlove
Ila usichanganyikiwe na maisha ya mtandaoni mkuu
Vyovyote vileNakuhurumia
Ukisha ingia huko miaka huwa ni michache sana mkuu 🥸 🥸Miaka mingi hiyo takuwa nimekula vya kutosha
Fanya kazi overNaombeni mtu yoyote au yeye mwenyewe kama atapita humu, naomba kuonana na watu hawa ili wanipe connection ya maisha, wanapata hela wapi? Hawa vijana wadogo lakini pesa ndefu sana. Msaada tafadhali.
Aisee hapo mbona pamoto, bora upambane kwa njia zako mwenyewe.Naombeni mtu yoyote au yeye mwenyewe kama atapita humu, naomba kuonana na watu hawa ili wanipe connection ya maisha, wanapata hela wapi? Hawa vijana wadogo lakini pesa ndefu sana. Msaada tafadhali.