Naomba msaada wa kukutanishwa na tajiri Chief Godlove na Tajiri Chui

Naomba msaada wa kukutanishwa na tajiri Chief Godlove na Tajiri Chui

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,070
Reaction score
354
Naombeni mtu yoyote au yeye mwenyewe kama atapita humu, naomba kuonana na watu hawa ili wanipe connection ya maisha, wanapata hela wapi? Hawa vijana wadogo lakini pesa ndefu sana. Msaada tafadhali.
 
Aiseee pambana kwa njia zako mkuuu hawa watu wanasiri nzito sanaa.

Tajiri gani han,gai usoni,utajiri unaonekana kwenye sura huyo chief god ni pimbi mmoja tuuu.
 
Naombeni mtu yoyote au yeye mwenyewe kama atapita humu, naomba kuonana na watu hawa ili wanipe connection ya maisha, wanapata hela wapi? Hawa vijana wadogo lakini pesa ndefu sana. Msaada tafadhali.
. Hela za moto zipo nyingi tu mkuu.. Ila mashart yake ni balaa sana,

. Sasa hivi wataalam wameenda mbali zaidi unapewa utajiri ndani ya miaka 15, baada ya hapo unakata moto hakuna msamaria.
 
Ana group la Whatsapp ukilipia Laki 1 ndio unaungwa humo.
 
Aiseee pambana kwa njia zako mkuuu hawa watu wanasiri nzito sanaa.

Tajiri gani han,gai usoni,utajiri unaonekana kwenye sura huyo chief god ni pimbi mmoja tuuu.
Njia zangu zioni kama tatoboa kabisa
 
Fan
Naombeni mtu yoyote au yeye mwenyewe kama atapita humu, naomba kuonana na watu hawa ili wanipe connection ya maisha, wanapata hela wapi? Hawa vijana wadogo lakini pesa ndefu sana. Msaada tafadhali.
Fanya kazi over
 
Naombeni mtu yoyote au yeye mwenyewe kama atapita humu, naomba kuonana na watu hawa ili wanipe connection ya maisha, wanapata hela wapi? Hawa vijana wadogo lakini pesa ndefu sana. Msaada tafadhali.
Aisee hapo mbona pamoto, bora upambane kwa njia zako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom