Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Juzi kuna rafiki yangu kutoka Urusi alifikia Chelsea Hotel iliyopo Lumumba street,Dar salaam.
Alikutana na watu nje ya hoteli wakamshawishi kuwa watampa huduma ya usafiri wa kwenda airport siku inayofiata, siku ya juzi baada ya kuingia kwenye gari yao wakiwa wawili walivyoenda umbali kidogo wanaongezeka tena watu wawili na kuanza kumnyang'anya vitu vyake jamaa alipambana nao na wakafanikiwa kumnyang'anya camera yake aina ya Sonny na saa ya mkononi.
Ninayo namba ya simu ya mmoja wa wezi hao ambayo alikuwa anachati na rafiki yangu. Rafiki yangu tayari ameshaondoka Tanzania lakini ana uhitaji mkubwa. Wa kupata vitu vyake. Video ya mmoja wa hao wezi hiyo hapo.
Tukio limetokea jana asubuhi around 10:00
Anaweza kunisaidia kupata hivyo vitu zawadi nono itatolewa.
Asante.
Alikutana na watu nje ya hoteli wakamshawishi kuwa watampa huduma ya usafiri wa kwenda airport siku inayofiata, siku ya juzi baada ya kuingia kwenye gari yao wakiwa wawili walivyoenda umbali kidogo wanaongezeka tena watu wawili na kuanza kumnyang'anya vitu vyake jamaa alipambana nao na wakafanikiwa kumnyang'anya camera yake aina ya Sonny na saa ya mkononi.
Ninayo namba ya simu ya mmoja wa wezi hao ambayo alikuwa anachati na rafiki yangu. Rafiki yangu tayari ameshaondoka Tanzania lakini ana uhitaji mkubwa. Wa kupata vitu vyake. Video ya mmoja wa hao wezi hiyo hapo.
Tukio limetokea jana asubuhi around 10:00
Anaweza kunisaidia kupata hivyo vitu zawadi nono itatolewa.
Asante.