Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari,
Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji
1. Circular Letters 1999 - 2020
2. Public Service Act & Regulations
Kwa ajili ya marejeo na maarifa zaidi.
Shs 30,000 ya usumbufu ipo,naomba zikiwa kwenye soft copy tafadhali.
Unahitaji format au sample ?Habari,
Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji
1. Circular Letters 1999 - 2020
2. Public Service Act & Regulations
Kwa ajili ya marejeo na maarifa zaidi.
Shs 30,000 ya usumbufu ipo,naomba zikiwa kwenye soft copy tafadhali.
Ninazo! Ulaji wangu naupataje? Njoo pmHabari,
Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji
1. Circular Letters 1999 - 2020
2. Public Service Act & Regulations
Kwa ajili ya marejeo na maarifa zaidi.
Shs 30,000 ya usumbufu ipo,naomba zikiwa kwenye soft copy tafadhali.
Mbona zipo mtandaoni?Habari,
Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji
1. Circular Letters 1999 - 2020
2. Public Service Act & Regulations
Kwa ajili ya marejeo na maarifa zaidi.
Shs 30,000 ya usumbufu ipo,naomba zikiwa kwenye soft copy tafadhali.
Nyaraka husika nahitaji Mkuu,kwenye mfumo wa soft copy ama hata hard copy ya vitabu vyakeUnahitaji format au sample ?
Haupo mbali sana na ukweli,nakuja pm MkuuNaona ushabanwa mahali unatafuta sheria za utumishi wa umma. Kama una urafiki na mkuu yeyote wa idara unaweza kuipata kiurahisi. Kama unataka standing order nikutumie
Kama upo dar naenda duka la vitabu vya serikaliNyaraka husika nahitaji Mkuu,kwenye mfumo wa soft copy ama hata hard copy ya vitabu vyake
Nipo mkoani Mkuu,Matombo huku!!Kama upo dar naenda duka la vitabu vya serikali
Hopefully utanisaidia kuzipata Mkuu.Mbona zipo mtandaoni?
Unapata hata kwa bando la buku.
Kuna circulars zilizounganishwa.
Lakini pia nakupa code kwamba kuna website inaitwa tovuti kuu ya serikali ya Tanzania. Address ni www.tanzania.go.tz.
Ina nyaraka na sheria kibao za JMT.
Utaliwa sana ukiwa mjinga.
Umelimit pm yako,njoo kwangu mkuuNinazo! Ulaji wangu naupataje? Njoo pm
www.tanzania.go.tzHopefully utanisaidia kuzipata Mkuu.
View attachment 3082325
Shukrani ila binafsi sizioni online Mkuu,kama unazo msaada tutani!
Nakusubiria mkuuNinazo! Ulaji wangu naupataje? Njoo pm
Mkuu,kimya tangu Jana!!!Ninazo! Ulaji wangu naupataje? Njoo pm
Morning_star kimya Mkuu,bado nasubiria ujio wangu,ujira wako upo!!Ninazo! Ulaji wangu naupataje? Njoo pm