Naomba msaada wa kupata nyaraka hizi tafadhali

Naomba msaada wa kupata nyaraka hizi tafadhali

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Habari,

Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji.

1. Circular Letters 1999 - 2020

2. Public Service Act & Regulations

3. Employment & Regulations act 2004.

Kwa ajili ya marejeo na maarifa zaidi.
Shukrani!!
 
Habari,
Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji
1. Circular Letters 1999 - 2020

2. Public Service Act & Regulations

Kwa ajili ya marejeo na maarifa zaidi.
Shs 30,000 ya usumbufu ipo,naomba zikiwa kwenye soft copy tafadhali.
 

Attachments

Hizo tittle hazijitosherezi! Ongeza particulars zaidi!!
1. Circular Letters 1999 - 2020 kihusu nini?

2. Public Service Act & Regulations ya mwaka gani
 
Habari,
Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji
1. Circular Letters 1999 - 2020

2. Public Service Act & Regulations

Kwa ajili ya marejeo na maarifa zaidi.
Shs 30,000 ya usumbufu ipo,naomba zikiwa kwenye soft copy tafadhali.
Unahitaji format au sample ?
 
Habari,
Husika na mada tajwa kwenye heading. Ninahitaji hizi nyaraka
Nahitaji
1. Circular Letters 1999 - 2020

2. Public Service Act & Regulations

Kwa ajili ya marejeo na maarifa zaidi.
Shs 30,000 ya usumbufu ipo,naomba zikiwa kwenye soft copy tafadhali.
Mbona zipo mtandaoni?

Unapata hata kwa bando la buku.

Kuna circulars zilizounganishwa.
Lakini pia nakupa code kwamba kuna website inaitwa tovuti kuu ya serikali ya Tanzania. Address ni www.tanzania.go.tz.

Ina nyaraka na sheria kibao za JMT.

Utaliwa sana ukiwa mjinga.
 
Naona ushabanwa mahali unatafuta sheria za utumishi wa umma. Kama una urafiki na mkuu yeyote wa idara unaweza kuipata kiurahisi. Kama unataka standing order nikutumie
Haupo mbali sana na ukweli,nakuja pm Mkuu
 
Shukrani sana Mkuu,na inayofuata tafadhali kama unayo naomba nipate,then tuwasiliane pm Mkuu.
 
Mbona zipo mtandaoni?

Unapata hata kwa bando la buku.

Kuna circulars zilizounganishwa.
Lakini pia nakupa code kwamba kuna website inaitwa tovuti kuu ya serikali ya Tanzania. Address ni www.tanzania.go.tz.

Ina nyaraka na sheria kibao za JMT.

Utaliwa sana ukiwa mjinga.
Hopefully utanisaidia kuzipata Mkuu.
Screenshot_20240829-210141.png
 
Back
Top Bottom