Unazungumzia utapiamlo?watoto wenye malnutrition
Hauna connection yoyote ?nipateHiki chakula kinatolewa kwa watoto wenye malnutrition hakika ni msaada mkubwa sana, ila kwasasa hapa bongo hazipatikani kiurahisi kwasababu zilikuja kwa ufadhili, nguvu kubwa imepelekwa sudan, congo na somalia.
Hapa kazini kwetu zipo ila zime expire miez miwili imepitaHauna connection yoyote ?nipate
+255 621205202.. unaweza nisaidia kaka ..nichekHapa kazini kwetu zipo ila zime expire miez miwili imepita
Nimetembea sana ila hazipo...Nenda kitengo cha CTC /PMCTC Huwa wanazo