Naomba msaada wa kupata (plummy nut) au chakula dawa

Naomba msaada wa kupata (plummy nut) au chakula dawa

sai255

Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
19
Reaction score
7
Naomba kwa yeyote Ambae anaweza kunisaidia kupata hizo karanga au chakula dawa.

Screenshot_20240216-214451_TikTok.jpg
20240216_143400.jpg
 
Hiki chakula kinatolewa kwa watoto wenye malnutrition hakika ni msaada mkubwa sana, ila kwasasa hapa bongo hazipatikani kiurahisi kwasababu zilikuja kwa ufadhili, nguvu kubwa imepelekwa sudan, congo na somalia.
 
Hiki chakula kinatolewa kwa watoto wenye malnutrition hakika ni msaada mkubwa sana, ila kwasasa hapa bongo hazipatikani kiurahisi kwasababu zilikuja kwa ufadhili, nguvu kubwa imepelekwa sudan, congo na somalia.
Hauna connection yoyote ?nipate
 
Back
Top Bottom