jasmineisaack
New Member
- Aug 17, 2024
- 4
- 7
Hello habari,
Samahan mimi ni binti nina miaka 24 nilihitimu kidato cha nne mwaka 2018 lakini sikubahatika kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya nyumbani japo matokeo yangu yaliruhusu kuendelea
Nimepitia changamoto nyingi hapa kati lakini mwaka jana nikakutana na baba yangu mdogo tuliepotezana nikiwa shule ya msingi akaniahidi kunisomesha na ilibidi mwaka huu niingie chuo nisome diploma in social work lakini kwa bahati mbaya alifariki mwezi mmoja nyuma
Alikuwa ni mmoja kati ya wale madaktari wawili waliofariki NJOMBE kwa ajali ya pikipiki hvyo nimebaki sina tegemeo lingine.
Naomba kupitia JamiiForums nipate msaada kama kuna shirika linafahamika linaweza kunisaidia nifikie ndoto yangu maana hali ya nyumbani ni ngumu sana.
Asante
Samahan mimi ni binti nina miaka 24 nilihitimu kidato cha nne mwaka 2018 lakini sikubahatika kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya nyumbani japo matokeo yangu yaliruhusu kuendelea
Nimepitia changamoto nyingi hapa kati lakini mwaka jana nikakutana na baba yangu mdogo tuliepotezana nikiwa shule ya msingi akaniahidi kunisomesha na ilibidi mwaka huu niingie chuo nisome diploma in social work lakini kwa bahati mbaya alifariki mwezi mmoja nyuma
Alikuwa ni mmoja kati ya wale madaktari wawili waliofariki NJOMBE kwa ajali ya pikipiki hvyo nimebaki sina tegemeo lingine.
Naomba kupitia JamiiForums nipate msaada kama kuna shirika linafahamika linaweza kunisaidia nifikie ndoto yangu maana hali ya nyumbani ni ngumu sana.
Asante