Naomba msaada wa kutafutiwa kazi yoyote.

Naomba msaada wa kutafutiwa kazi yoyote.

tizo1

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
856
Reaction score
145
Habari mdugu wana JF.Mimi ni kijana wa miaka 24.Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu 2011.Mchepuo wa HKL.Naweza kutumia computer,na sasa nipo TABORA MJINI.Nina uwezo wa kufanya kaz kwenye stationary,internet cafe na nk.Sina chanzo cha mapato naomba nisaidiwe jamani.
 
Unafaa kwa data entry,customer care na sales kama kwenye tigo,voda,airtel n.k . Jaribu kufuatilia humo. Pia Nbc wakati mwingine wanachukua watu kama wenye elimu kiwango chako,angalia miezi hii na kuendelea japo sijui kama mwaka huu wanampango huo. Pia tuma application yako Access bank tanzania,uwe unachungulia pia web yao,www.AccesswBank.com pia huwa wanahitaji form6. Jaribu hata Mamlaka ya vitambulisho vya taifa,tafuta webpage yao maana mwaka huu wanaweza kuhitaji data entry clerks. Kwa yote haya,sijakuhakikishia kuwa kuna kazi ila ni bora ujaribu. Pia kama una soft copy ya Cv,nitumie ili nijaribu kukutafutia nitakapoona ila ukipigiwa simu au email ujitambulishe kama wewe ndo uliomba wala si mimi. Tuma gsana6@gmail.com. Mkuu ila usipoitwa popote usinilaumu maana mimi sitoi kazi pia kumbuka na urasimu uliopo Tanzania, tufanye kujaribu tu. Kumbuka kuweka email kwenye cv. All the best kijana.
 
Gsana

Umenifurahisha sana kuwa na moyo kama huo, Mwenyeezi Mungu akuzidishie kila la kheri.

tizo1,

Ni pm nikupe email ya kutuma cv yako.
 
Unafaa kwa data entry,customer care na sales kama kwenye tigo,voda,airtel n.k . Jaribu kufuatilia humo. Pia Nbc wakati mwingine wanachukua watu kama wenye elimu kiwango chako,angalia miezi hii na kuendelea japo sijui kama mwaka huu wanampango huo. Pia tuma application yako Access bank tanzania,uwe unachungulia pia web yao,www.AccesswBank.com pia huwa wanahitaji form6. Jaribu hata Mamlaka ya vitambulisho vya taifa,tafuta webpage yao maana mwaka huu wanaweza kuhitaji data entry clerks. Kwa yote haya,sijakuhakikishia kuwa kuna kazi ila ni bora ujaribu. Pia kama una soft copy ya Cv,nitumie ili nijaribu kukutafutia nitakapoona ila ukipigiwa simu au email ujitambulishe kama wewe ndo uliomba wala si mimi. Tuma gsana6@gmail.com. Mkuu ila usipoitwa popote usinilaumu maana mimi sitoi kazi pia kumbuka na urasimu uliopo Tanzania, tufanye kujaribu tu. Kumbuka kuweka email kwenye cv. All the best kijana.

Nashukuru kwa msaada wako!Ntajitahid nikutumie cv zangu,sasa sina computer natumia simu ya mkononi!Asante sana.
 
Nashukuru kwa msaada wako!Ntajitahid nikutumie cv zangu,sasa sina computer natumia simu ya mkononi!Asante sana.

changamka wewe.....si uende cafe.....au unatakaje sasa?
 
Back
Top Bottom